Credits

PERFORMING ARTISTS
John 'Lucas' Mwendwa
John 'Lucas' Mwendwa
Keyboards
Daryll Schmelzenbach
Daryll Schmelzenbach
Keyboards
John Ganda
John Ganda
Bass
Derrick Mareva
Derrick Mareva
Drums
John Musembi
John Musembi
Guitar
COMPOSITION & LYRICS
John 'Lucas' Mwendwa
John 'Lucas' Mwendwa
Songwriter
Alexander (Witty) Mzami
Alexander (Witty) Mzami
Songwriter
Edward Bulemi
Edward Bulemi
Arranger
PRODUCTION & ENGINEERING
Noel Mbaji
Noel Mbaji
Assistant Recording Engineer
Alexander (Witty) Mzami
Alexander (Witty) Mzami
Producer
Zacharia Chacha
Zacharia Chacha
Mastering Engineer
Lenny Ngugi
Lenny Ngugi
Video Producer
Director Ritchie
Director Ritchie
Video Producer
Kogi Kariuki
Kogi Kariuki
Producer

Lyrics

Si kwa nguvu zangu wala uwezo wangu
Si kwa wema wangu wala uzuri wangu
Si kwa nia wala mapenzi yangu
Kuwa mwana wako Baba
Si kwa nguvu zangu wala uwezo wangu
Si kwa wema wangu wala uzuri wangu
Si kwa nia wala mapenzi yangu
Kuwa mwana wako Baba
Ulinijia mimi nikiwa mnyonge
Nikiwa nimezama na dhambi kunipofisha
Kwa neema zako ukanifikia
Ukaniokoa kwa wako mwana
Ulinijia mimi nikiwa mnyonge
Nikiwa nimezama na dhambi kunipofisha
Kwa neema zako ukanifikia
Ukaniokoa kwa wako mwana
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Sasa wakovu wako umenipa bure
Utakatifu wako Yesu umenivisha bure
Kwa mauti we umenitoa kule
Na ni kwa neema na rehema
Sasa wakovu wako umenipa bure
Utakatifu wako Yesu umenivisha bure
Kwa mauti we umenitoa kule
Na ni kwa neema na rehema
Sasa wakovu wako umenipa bure
Utakatifu wako Yesu umenivisha bure
Kwa mauti we umenitoa kule
Na ni kwa neema na rehema
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Wewe ni ngome yangu Bwana
Wewe ni nguvu yangu
Wewe ni nguzo yangu Bwana
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Yahweh Yahweh ndilo jina lako
Bwana Yesu ndilo jina lako
Written by: Alexander (Witty) Mzami, John 'Lucas' Mwendwa
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...