Credits

PERFORMING ARTISTS
Tukisonga
Tukisonga
Performer
Dyana Cods
Dyana Cods
Performer
Father Moh
Father Moh
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mbithi
Mbithi
Songwriter

Lyrics

Hapa ndo tunakua Free 
Place kila dream inacount 
Hakuna kitu impossible no doubt 
Tunamove pamoja na ithaa 
Energy iko full Kila base kwa mtaa 
Nayo  nayo Tukisonga 
Tunaleta change tukisonga pamoja 
Tunaconnect 
Nayo nayo Tukisonga 
Hatustop,tupate Tukisonga
Nayo nayo Tukisonga 
Kaa ukona morio
Mii nikona storio
Nitoe kwa ngorio
Chweza itanipandio
Ukileta mchangio
Unajenga side hiyo
Miiii utanimake Fall
Moja itanimali ooooh
Inua yako mguu
Kwa matope isikwame
Nkuruma kwa nguvu
Kaa ule shujaa
Anaitwa kwame
Pamoja ni kuu T
Unaunguza ukame
Nilishe vipoa
Sio poa miii nihame
Nipate miii dandia kwa mat
Na moshogi hanijudge
Na michoro za tat
Sio mbaya nikihave
Hapa ndo tunakua Free 
Place kila dream inacount 
Hakuna kitu impossible no doubt 
Tunamove pamoja na ithaa 
Energy iko full Kila base kwa mtaa 
Nayo  nayo Tukisonga 
Tunaleta change tukisonga pamoja 
Tunaconnect 
Nayo nayo Tukisonga 
Hatustop,tupate Tukisonga
Nayo nayo Tukisonga 
Biggie biggie
Heavy heavy
Unatakia nini
Story zetu,
Kafagie kwenu 
Biggie biggie
Heavy heavy
Dancestyle ni za kikwetu
Na inafika hadi majuu 
Ni githa ya ma youth,
Gotha sana
Generation z
Hakuna kitu
Wanaweza fanya
Songa kwanza
Kando uonyeshe rada 
Wakifunga mlango
Tunavuka na ladder.
None of dem bad like we
Original none of
Dem compare
None of dem bad like we
Real badgyalis
Nothing come near
Hapa ndo tunakua Free 
Place kila dream inacount 
Hakuna kitu impossible no doubt 
Tunamove pamoja na ithaa 
Energy iko full Kila base kwa mtaa 
Nayo  nayo Tukisonga 
Tunaleta change tukisonga pamoja 
Tunaconnect 
Nayo nayo Tukisonga 
Hatustop,tupate Tukisonga
Nayo nayo Tukisonga
Written by: Mbithi
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...