Credits

PERFORMING ARTISTS
Wakadinali
Wakadinali
Performer
Sewersydaa
Sewersydaa
Rap
Sir Bwoy
Sir Bwoy
Rap
Domani Munga
Domani Munga
Rap
Scar Mkadinali
Scar Mkadinali
Rap
COMPOSITION & LYRICS
Salim Ali Tangut
Salim Ali Tangut
Songwriter
Oliver Ouma Tambo
Oliver Ouma Tambo
Songwriter
David John Munga
David John Munga
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Ares66
Ares66
Mixing Engineer

Lyrics

Woah Woah Woah
Ah
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Hebu kuja kuja kuja
Huku kamenuka
Ka-Ka-Ka! Ndeng'a msee inatiririka
Si ni wa kukuja tuko nyuma
Huku kwetu mtaro imefura
Liquor, nimefanya imeisha full half-litre
Tangu niwe mless mi ni mtukutu
Gyaldem anajua Kim Jung Dosh - mi ni mtukutu
Sare porojo, bad news
This is the cookbook
Siezi pull up na kisu
Mi ni mtu tu-tu-tu
Mbuku nijaze mistari zii -
Hihihi!
Chill booth hunukanga
Me ni mlikkle ill
Tafuta diro na mngola
Uwezi rudi tena umezeshee
Mbleina namtoka
Usiwai kubonga sana kasheshe
Ngati ngati ngati ngati ngati ngati msee
This is a wake up call
Welcome to my channel
Who am i?
Cheki skele wa mine
**** vanilla interior
Mbele na nyuma ni white
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Majengo naitwanga Mukhtar
I'm the headman napita na vichwa
Huwezi nikunja, huwezi nibend
Mpesa na ngithe nadunga weekend
Niko manyaru niko machwade kila subaru
Nadhani ni mambaru
Thefo wa leo ni momo, na
Shika kundule tatu za njuri
Rizeh alinyuria na nyoi- woi woi woi
Sogi, derava na ndeng'a ni mboi
Mokoro analianga woi
Jirani ana roho chafu
Ai, Woishe, ulikula mum na snail
Shi', Shi'
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Hatuongei juu ya kukang'a ka hatujaifanya
Tutakwachia scar kwa face tuanze kuita Tony Montana
Tapigia mkanya na asiposhika unaeza ita Hosanna
Bei imepanda lakini - hatuwezi kosana
Niko na msabra mi-huita mzaba kila idhaa anaporura
Naskia mi hurap uhuni
Eeh, juu hakuna kitu ingine najua
Mtusue kampuni ama tuingie streets
Bado mnabuya
Nilisuka Ruby akaingia key, nikaitundura
Si hukuwa wild
Achana na willis, Ye bado anakuja
Dry, Dry no chaser Henny kwa meza
Hivo ndio si hukunywa
Look inaunguza, kiatu ya duka
Huku mtumba si ndio hudunga
Agent hudungwa wakamiss gunda
Hessy akawakuta
Si huchoma mpaka ituchome vidole
Boza inageuzwa nyongi
We na hiyo slim inabaki ukuwe mpole
Roda inaingizwa na key na Rhoda anaingizwa ndole
Ukibonga hatukuskii before tutoke
Scene si huwacha sorted
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Wapi na nani! Wapi nani!
Wapi na nani!
Ngoja niwalole!
Pinji ni red rose
Msee ana gotha, ni ombre
Ukimuok, na heda ni dibla
Sisi kuslay, si ka kina Zari
Continue show msee alituzidi
Wapi na nani!
Written by: David John Munga, Oliver Ouma Tambo, Salim Ali Tangut
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...