Crédits

INTERPRÉTATION
Phina
Phina
Interprète
COMPOSITION ET PAROLES
Beatsbyjoel
Beatsbyjoel
Composition
Sarah Michael Kitinga
Sarah Michael Kitinga
Composition
PRODUCTION ET INGÉNIERIE
Phina
Phina
Production
S2Kizzy
S2Kizzy
Production

Paroles

[Chorus]
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
[Verse 1]
Sina hela, sina pesa, sina doh
Sina nyumba sina gari, sina ooh
Kila kukikucha mi naiwaza kesho
Napiga moyo konde nitafika ooh
[Verse 2]
Wanaokudharau leo watakusalimia kesho, kwa heshima
Wanaokusema sema, watakusifia kesho
Unaokula nao na kucheka nao
Kesho ukidondoka utokuwa nao
[Verse 3]
Piga moyo konde
Wakati wa Mungu wakati sahihi-hihi
Piga moyo konde
Wakati wa Baba wakati sahihi
[Chorus]
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
[Verse 4]
Jana niliumwa, nikadhani nitakufa
Leo niko fiti, ukinicheki nadundika
Nilipoachishwa kazi walidhani nitasota
Leo niko juu ile kibosi nadundika
[Verse 5]
Kama unaamini umesaidiwa na Mungu
Piga kelele, kelele moja (Eeh)
Kelele mbili (Eeh eeh)
Mmh (Eeh eeh)
[Verse 6]
Kama unaamini umesaidiwa na Mungu
Piga kelele, kelele moja (Eeh)
Kelele mbili (Eeh eeh)
Eeh, eeh
[Chorus]
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
Written by: Beatsbyjoel, Sarah Michael Kitinga
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...