क्रेडिट्स
PERFORMING ARTISTS
Neema Gospel Choir
Background Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Neema Gospel
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Victorious Production
Executive Producer
Fredrick Kilago
Engineer
गाने
[Intro]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 1]
Tunalisifu jina lako
Tunatukuza jina lako
Wewe ni mfalme wa wafalme
Tunalisifu jina lako
Tunatukuza jina lako
Wewe ni mfalme wa wafalme
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 2]
Eeh Bwana Mungu wa majeshi
Eeh Bwana utuangazie
Nuru za uso wako, eh Bwana, eh Bwana
Nasi tutaokoka milele, miele
Nuru za uso wako, eh Bwana, eh Bwana
Nasi tutaokoka milele, miele
[Verse 3]
Eeh Bwana Mungu wa majeshi
Eeh Bwana utuangazie
Nuru za uso wako, eh Bwana, eh Bwana
Nasi tutaokoka milele, miele
Nuru za uso wako, eh Bwana, eh Bwana
Nasi tutaokoka milele
[Verse 4]
Hata watu wabadilike, wewe kamwe hubadiliki
We si kama mtu udanganye, ukweli yako ni ya milele
Hata watu wabadilike, wewe kamwe hubadiliki
Si kama mtu udanganye, ukweli yako ni ya milele
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 5]
Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 6]
Kweli Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 7]
Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 8]
Kweli Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 9]
Kweli Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 10]
Kweli Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Chorus]
Mwokozi wetu Yesu, Bwana
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana
Unaweza
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Bridge]
Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
[Verse 11]
Bwana mkono wako
Hutenda makuu
Umetupa wokovu
Nani kama wewe Bwana wa mabwana?
Written by: Fredrick Masanja