歌詞
[Verse 1]
Ah, I swear to God for my life
That I speak from my heart
Ushawai kupenda
Let me see your hands up
[Verse 2]
Ah, mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani
[Verse 3]
Mapenzi ya vikwazo mitihani
Kila mmoja anaumia ndani
Tulivyo anza mwanzo sikudhani
Kama yangepotelea hewani
[Verse 4]
Kwako nilijifunza kupenda
Sikuwa na pumzi ata ya kuhema
Kuwa na wewe mazoea yakajenga
Ukafanya nikuwaze kila sehemu ninayo kwenda
[Refrain]
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?
[Refrain]
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Yako wapi?
[Refrain]
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa handle
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
[Chorus]
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
[Bridge]
Ah, ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji
[Verse 5]
Sometimes, hisia zinakudanganya
Unatanga na njia hujui la kufanya
Huwezi kukimbia unacho kipenda sana
Unabaki unaumia, akili inakuchanganya
[Verse 6]
Tunacheat wakati tunapendana
Tunapendana vipi tusipoaminiana
Mimi na wewe imebaki kuzoeana
Haya sio mapenzi, mapenzi ya kutesana
[Verse 7]
Mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani
[Refrain]
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
[Verse 8]
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
[Refrain]
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
[Refrain]
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
[Chorus]
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza! Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
[Bridge]
Ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji
[Bridge]
Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
[Refrain]
Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Ooh yeah eeh
[Outro]
Yako wapi? (Ooh beiby)
Yako wapi?(Yako wapi?)
Yoh yako wapi?(No no no no no)
Yako wapi? (Ooh beiby)
Written by: Darassa