クレジット
COMPOSITION & LYRICS
Professor Florent
Songwriter
歌詞
We ni wangu
We ni wangu mama
we ni wangu
we ni wangu
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
Hawapendi kuniona na wewe
eti nimekaa nime chill na wewe
wanatamani niwe nimekwisha
ulalalaa wakuchukue kabisa
Niliposema nipo bize ikabidi uulize
ukamfata mchizi wangu mo jiizeh
ukamuuliza kama kweli nipo bize
nae akakwambia kama me siko bize
akaanza kuni kandia
vile vile wewe apo akakusifia
kwakua alikuwa anakuzimia
akasema eti mi nakuzingua
wakati we mwenyewe mi unanijua
zaidi yako sina anae nichengua
We we we
Nakupenda sana we
We we we
Nakupenda sana we
We we we
Nakupenda sana we
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
Hawapendi kuniona na wewe
eti nimekaa nime chill na wewe
wanatamani niwe nimekwisha
ulalalaa wakuchukue kabisa
Ahadi ya pete ipo pale pale
chonde chonde mama usinitese
Walimwengu waje watucheke
please maa
Waje watuchekee
Hawajui ni wapi tumetoka
haajui ni wapi tunakwenda
shida ngapi me nawe tumepitia
ndomana wameanzisha ajenda
Leo hivi kesho vile baby usiwasikilize
njoo gheto njoo tu blaze
Kwangu mamuvi kibao
Kwangu mikasi kibao
kwangu ma love kibao
kwangu makiss kibao
njoo knyama wanga tuwapige bao
We ni wangu
We ni wangu mama
We ni wangu
we ni wangu
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
My boo my boo my boo ulalalalala my boo
Hawapendi kuniona na wewe
eti nimekaa nime chill na wewe
wanatamani niwe nimekwisha
ulalalaa wakuchukue kabisa
Kufa kwa imamu sio mwisho wa ibada
sio za kigumu tu hata hizi tunaweza
Jaffaraaai
Written by: Jaffar Msham Ally, Jaffar Nsham, Meshack Abere, Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)

