album cover
Ntampata Wapi
131,935
Afro-Pop
Ntampata Wapi은(는) {albumName} 앨범에 수록된 곡으로 2014년 11월 20일일에 WM South Africa에서 발매되었습니다.Ntampata Wapi - Single
album cover
가장 인기 있는
지난 7일
00:00 - 00:05
Ntampata Wapi은(는) 지난 주에 처음 몇 초 동안에 가장 많이 검색된 곡입니다.
00:00
00:05
00:10
00:15
00:30
00:45
00:55
01:05
01:10
01:25
01:30
01:35
01:40
01:45
01:55
02:05
02:25
02:35
02:45
03:00
03:05
03:25
00:00
03:43

뮤직 비디오

뮤직 비디오

가사

(Wasafi)
Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribu
Ila namkumbuka sana
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu, ukarimu
Bado namkumbuka sana
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule?
Niliompendaga sana
Nitampata wapi, kama yule?
Nae anipende sana
Aii, aii, nyota
Nyota ndio tatizo langu
Aii, nyota
Mpaka nalia pekee yangu
Aii, nyota
Nyota ndio shida yangu
Nyota
Wamenizidi wenzangu
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi kapuku hakunijali (jali)
Akanimbia, hm
Alidanganywa na wale (wale)
Wenye pesa nyumba ghali (ghali)
Mi mnyonge hakunijali (jali)
Akanikimbia
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali, darling
Akatekwa na wale (halo)
Alonifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah-aah
Nitampata wapi? (Oh, wapi?) Kama yule
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi kama yule (oh, sana)
Nae anipende sana
Nitampata wapi, kama yule? (Penda sana)
Niliompendaga sana (nampenda sana)
Nitampata wapi, kama yule? (Oh, sana)
Nae anipende sana
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Bado ananijia ndotoni (bado)
Ila nikiamka simwoni (bado)
Bado ananijia nikilala (bado)
Haki ya Mungu sio masihara
Yo' touch clever (bado)
Hii ni sauti ya raisi (bado)
Ilomshindaga ibilisi (bado)
Kwa mwanadamu sio rahisi, aha
Na mwambie (bado)
Lazma ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumuilisha
Kuna X na kuzidisha
Ni cheche (cheche...)
Bado ananijia nkilala
Haki ya Mungu sio masihara
Written by: Diamond Platnumz
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...