Lyrics
Sali kwenu nitatimba kuleta barua
Pambe wote watajua
Ambia mabeshte zako waandae vijora
Shangwe linakaribia
Sali kwenu nitatimba kuleta barua
Pambe wote watajua
Ambia mapeng wenzako waandae vijora
Shangwe linakaribia
Kwa maana midadi unanipa
We Salima nakulombotove
Mchele ushamwagika
We Salima nakulombotove
Salima Salima, pisi kali Salima
Naja na mbogi kwenye mchuma nisepe na wewe Salima
Wanakuchora sana Salima eti wanakuita tukinao
Wanatusorora sijali hata kidogo hizo ni chuki zao
Wanasema unanidanga acha unidange ni mimi si wao
Wanatusorora sana sijali hata kidogo ni chuki zao
Kwa maana midadi unanipa
We Salima nakulombotove
Mchele ushamwagika
We Salima nakulombotove
Salima Salima, pisi kali Salima
Naja na mbogi kwenye mchuma nisepe na wewe Salima
Written by: Ambrose Akula Akwabi, Fredrick Mulla, Kevin "Provoke" Omondi Okech