Music Video
Top Songs By Erick Smith
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Erick Smith
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Marume Bayizere
Songwriter
Lyrics
Nilikua wa kudharauliwa
Ukanipa heshima bwana
Sijui niseme nini
Hakuna chochote kile
Ninaweza jivunia
Isipokua neema yako
Nilikua wa kudharauliwa
Ukanipa heshima
Sijui niseme nini
Hakuna chochote kile
Ninaweza jivunia
Isipokua neema yako
Usngelikuwepo, nisingekuwepo
Nisingelipata mimi, upendo kama wako
Ona neema, si ya kawaida
Imenitoa kwa laana
Hakuna chochote
Ningefanya mimi
Ilinikubaliwe na mungu
Damu yako, ya dhamana
Imeniepusha na ugumu
Rehema, upendo
Zimeniwezesha kuingia kwa baba
Usingelijitoa, ningekua wapi
Kwa kupigwa kwako tumepona
Umebeba mateso, shida zote
Msalabani, ukasema kuwa yote yamekwisha
Yesuu
Usngelikuwepo, nisingekuwepo
Nisingelipata, upendo kama wako
Ona neema, si ya kawaida
Imenitoa kwa laana
Hakuna chochote
Ningefanya mimi
Ilinikubaliwe na mungu
Damu yako, ya dhamana
Imeniepusha na ugumu
Rehema, upendo
Zimeniwezesha kuingia kwa baba
Ona neema, si ya kawaida
Imenitoa kwa laana
Hakuna chochote
Ningefanya mimi
Ilinikubaliwe na mungu
Damu yako, ya dhamana
Imeniepusha na ugumu
Rehema, upendo
Zimeniwezesha kuingia kwa baba
Ona neema, si ya kawaida
Imenitoa kwa laana
Hakuna chochote
Ningefanya mimi
Ilinikubaliwe na mungu
Damu yako, ya dhamana
Imeniepusha na ugumu
Rehema, upendo
Zimeniwezesha kuingia kwa baba
... END
Writer(s): Marume Bayizere
Lyrics powered by www.musixmatch.com