Music Video
Top Songs By CHozenAfitra
Credits
COMPOSITION & LYRICS
Richard Muchogu
Songwriter
CuzFly Melodies
Songwriter
Keith Wainaina
Songwriter
Oscar Ngare
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
CuzFly Melodies
Producer
Lyrics
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunafanya kazi
Si tunafanya kazi (Weh)
Safari wapi Pwani
Friday jioni wazi
Mimi nipe dials
Unajua nakuja hewani
Mnazi ndio kinywaji
Manguks na ka wali
Wacha iwe wazi
Si tunachapa kazi
Chillin in Diani shawties wako ndani
Mpaka summer bunnies wanaiva ngwai
Nigga acting funny kwa ni wewe nani
Ati brother sister ama Nga'nga waflani (Weh)
Drinks are moving mad
I'm in a fucking trance
Feet on quick sand
Ma manzi wa kutrend
Nipate Milan
Mi nadishi brunch
Parking ni ma benz
Ati traffic ni ma Peng (Weh)
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunachapa kazi
Si tunafanya kazi
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi
Nipate Diani
Chilling with some Honey
Hiyo ni ya nani
Si tunachapa kazi
Tunachapa kazi
Fungua macho wazi
Si ni wale tuko wired than the paparazzi
Why the youth ha wako hired boomers watutakii
Wanadai wakiretire ndio hatuko sloppy
So hakuna sorry
Hustle mandatory
Nipe mic na kangoma nitapiga story
Bora life is in order like an inventory
Na the ops watabother niki morning glory
Moving green mtaani this my territory
Leta shida put you sleep like a dormitory
All about my roots and shoots toka preparatory
Schooling hommies how to 'G cause it's necessary
Later drip in a jeep swagger huwa ngori
I'm the type ukinimeet tafuta lavatory (Cause I'm The Shit)
Ka ni Nike to the feet sipendi fogothare
Nipate na wasupa five-star sipendi ordinare
Siuchapa kazi kila day ya siku
Holiday Inn anytime I need to
Huu mwaka I don't think I'll seem to
Kila mwezi simnajua ni kitu
Subscribe usipitwe na issues
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi (Eh)
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunachapa kazi
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi
Nipate Diani
Chilling with some Honey
Hiyo ni ya nani
Si tunachapa kazi
Kazi kazi
Bado nachapa kazi
Mlango uwazi
Nipate na mali nachapa manzil
Kazi ni kazi
Kama hutaki hupati
Maisha ni tamu so wacha udwanzi
Vile na pata hupati
Chilling for hommies to come through
Nairobi tonight twaharibu
Napata majani so come through
Nicome na konyagi kaa tatu
Chasing money everyday you can think i'm alive for the feeling I run through
Stacking favor's every moment for hommies I built I know I can run through
Holidays i'm alive I be praising the vibes never knew that I had to
Finding spaces in the time I be feeling her vibe when I know she can come through
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi (Weh)
Si tunachapa kazi
Si tunafanya kazi
Si tunafanya kazi
Si tunachapa kazi
Si tunachapa kazi
Nipate Diani
Chilling with some honey
Hiyo ni ya nani
Si tunachapa kazi
Writer(s): Richard Muchogu
Lyrics powered by www.musixmatch.com