Lyrics

Me hupenda maskinny Me hupenda mabig siz Me hupendaga invoice Me hupendaga suprise Me hupendaga indoors Me hupendaga outside Me hupend marasta, msupa Me hupenda magangstar Me huendaga hizi ati me hupendaga somethings Me hupendaga hizi ati ye hupendaga dizings Me hupendaga mchana ati ye hupendaga tu night Ati me hupendaga isips ati ye hupendaga this side Tangu last year me hushinda niko drunk Juu ex wangu alinitext ako done Na tangu last year me hushinda niko high Juu ex wangu alinishow niko down Tangu last year me hushinda niko drunk Juu ex wangu alinitext ako done Na tangu last year me hushinda niko high Juu ex wangu alinishow niko down Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin Bunda na pe mimi Ni kipee wa magiz Ukiwasha madasha na siezi zunda wada Juu watatoka trrr yaani siaka mbayaa Me hupenda figa inchi marembez kuwa tichi Pigwa ringiz me hungam tuko indiz Kukuwa snitch lazima muniingizange deep in Kuwa metea kila kitu iko kwa magda Ndo wangurunyu wamezeme ni yule zingting Kila jango nimemlazia headshot Nduki zilikuwa ni za confirmation Kuwakilisha si huwakilisha na dude Nditni kusababisha mekafi Tuna mangiso ya kuwa rianyu na tuna riambez Yo hundape, me hunda nape mimi Mimi Mimi Mimi Mimi Mimi Wakugwaiiii siatulegeza kiriang' Wakugwaiiii siatulegeza kiriang' Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin Yoh Micha Me hupenda yenye nyi hupenda hamuwezi pata Tuko gwedhe zi hupatch na kashaa Mamodho tulichorea pin gi ni mashada Mkiwolan na madada sisi ni kusaka baroda Yoh, ulitokwa ukabondwa Nyanya wako kakasonga Yoh, sahi umefurisha gwadu Me hupendaga wale wamebeba manyu Ah kama kawa ni mastingo kuwa rianyu Walitryzex waka toka za kimanyu Me hupenda wale wandaki kidale Me hupenda wale kwenye ndaki me ndo palent Apparently ni kingaso watang'am Na apparently kingaso hawatajam Na apparently walikuwa ka Saddam Juu apparntly Mbogi genje nio riang' Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin Mzimbiting Niko matingz Mzimbiting Niko mobilize weeh tumejipin
Writer(s): Tony Kinyanjui Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out