Credits

PERFORMING ARTISTS
Stevo Simple Boy
Stevo Simple Boy
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Stephen Adera
Stephen Adera
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Mavo On The Beat
Mavo On The Beat
Producer

Lyrics

Wakenya mko aje? Freshi barida
Vichuna magongingo? Freshi barida
Nataka kienyeji ako freshi barida
Ambia ex wangu niko freshi barida
Niko freshi barida (Okay), freshi barida
Niko freshi barida (Okay), freshi barida
Stevo nawaambia don't drink and drive
Kwa nyumba don't beat, usichapechape wife
Love ni polepole, ukiforce uta-die
Ngoma ikibamba nipatie high five
Leo ni kutulia hakuna mambo na mzinga
Mabinti wananitaka, ah ah mimi ninaringa
Usilete hasira ju bei ishapanda
Stevo Simple Boy, niko freshi barida
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Wakenya mko aje? Freshi barida
Vichuna magongingo? Freshi barida
Nataka kienyeji ako freshi barida
Ambia ex wangu niko freshi barida
Wakenya mko aje? Freshi barida
Vichuna magongingo? Freshi barida
Nataka kienyeji ako freshi barida
Ambia ex wangu niko freshi barida
Hakuna mihadarati tunalewa na chapati
Pigia beshte zako uulize party ni saa ngapi
Naskia mnaita ex wangu Ki****
Nikipata pesa nitam-buy-ia gari
Bibi ya wenyewe usimfinyie macho
Kuwa mwaminifu usipende mpango wa kando
Ju kikulacho ki nguoni mwako
Penda ule wako ako freshi barida
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Katika katika, ka imekubamba
Wakenya mko aje? Freshi barida
Vichuna magongingo? Freshi barida
Nataka kienyeji ako freshi barida
Ambia ex wangu niko freshi barida
Wakenya mko aje? Freshi barida
Vichuna magongingo? Freshi barida
Nataka kienyeji ako freshi barida
Ambia ex wangu niko freshi barida
Niko freshi barida (Okay), freshi barida
Niko freshi barida (Okay), freshi barida
Written by: Justine Mainye, Stephen Adera
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...