制作

出演艺人
Lord Clinchy
Lord Clinchy
表演者
作曲和作词
Lord Clinchy
Lord Clinchy
词曲作者

歌词

Yeah yeah
Eyy eyy
Crazy monkey
Lord Clinchy gimme your verse
Navenye nasonga huwezi
Luku unapiga jersey
We hujasota uko lazy
Mimi ni Lord na kiti cha enzi
Sota ulipane madeni
Natoa doo mi ni ???? benki?
Compete na wageni
Buda bishana na mimi udenki????
Buda ni nani \"CLINCHY\"
N** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord
Na basi ni nani??
\"CLINCHY
Buda ni nani ?
\"CLINCHY
n** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord na basi ni nani??
CLINCHY!!
Sikuizi mashawty wanaamini
Ukiwa na doo we ni kingi
Alafu ati si ni mafisi
Ukweli ni ganji inaleta mabibi
Looks pigana ma nickey
Cologne dungia versace
Drip tafuta kwa chinese
Ama ata upige lesse kwa ma toughees
Ok before nianze kula chill
Nataka before nichape inakill
Ndio mana ma rapper wote wanafeel
Na mimi napiga trap ama drill
Ok nazururaga kila day
Kwa pocket ni mzinga
Nakula barizi ya bei
Buda we bonga tu mi sina say
Nachapa hug na makei Hardcase piga lay
Nadifu meow kila day
Na buda unasababisha mi si gay
Wana wana wanaamini
Mi huball na majini
Na bado wako juu ganji bado nyingi
Mbona humanini ??
Juu mimi nafuata madini
Juu adi nataka kushika mpini
Bado unasema nafuga majini
We ni nani?? fwata matini
Ukinifuata utacatch mafeelings
Na badae utasema ni vipi
Kumbe kuflex inataka akili
Kuwa makini bro
Navenye nasonga huwezi
Luku unapiga jersey
We hujasota uko lazy
Mimi ni Lord na kiti cha enzi
Sota ulipane madeni
Natoa doo mi ni ???? benki?
Compete na wageni
Buda bishana na mimi udenki????
Buda ni nani \"CLINCHY\"
N** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord
Na basi ni nani??
\"CLINCHY
Buda ni nani ?
\"CLINCHY
n** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord na basi ni nani??
CLINCHY!!
Mapeng wameshinda wakiuliza
By the way Lord unapendaga nini?
Nawashow mi napenda tu giza
Adi hawaamini napenda kanisa
Shawty anataka tu pizza
Ndio aitishe liquor bila ata chaser
Kakinuka na kanawakisha
Bare kidogo kashamwagika
We uko broke na huwezi nishow
Juu unadhani mi ni malaika
Umeshinda ukichafua rada venye unabonga social media
You think watakuja kuhonga
Ndio upeane riba ka speaker
Hujui unachomaga picha
Mi nakuambia siwezi kuficha
Mafala wanadhani ati mimi
Siwezi kurap na lugha ya ngoso
Juu rumour inasema ati mimi
Nililelewa kutoka orosho
Man i follow the mind you see
U can\'t never think am a kind of a British
But only because of your deal
Man are you bothered u fear the English
U better shut ur M**F*# ama ata ufunge midomo na bandage
Kuna venye mi nafanya na mabeshte
I\'mma call you bloody n** when u feel me
Toka tene mi nafanya vitu solo
Collabo na freestyle haijawai wekwa pending
Na ndio mana mi ni lord na ni
\"CLINCHY\"
kuna hater anadhani mi ni
 \"FISI\"
ka ni line ni mistari na ma punchlines
Buda izo law nimeiva mi ni
\"PHYSIST \"
kwenda!!
Navenye nasonga huwezi
Luku unapiga jersey
We hujasota uko lazy
Mimi ni Lord na kiti cha enzi
Sota ulipane madeni
Natoa doo mi ni ???? benki?
Compete na wageni
Buda bishana na mimi udenki????
Buda ni nani \"CLINCHY\"
N** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord
Na basi ni nani??
\"CLINCHY
Buda ni nani ?
\"CLINCHY
n** u know me
\"CLINCHY
n** u feel me kama si lord na basi ni nani??
CLINCHY!!
Crazy monkey
Uuu
Auu auuu\"
Uuu
CLINCHY
Written by: Lord Clinchy
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...