Top Songs By D Voice
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
D Voice
Performer
T.RONE
Performer
Abduli Hamisi Mtambo
Performer
Zuhura Othman Soud
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Zuchu
Composer
Abduli Hamisi Mtambo
Songwriter
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
T.RONE
Producer
Lyrics
Hhm! Habibi nikuulize swali
Kipi cha kukuongeza
Kama unaona bado sema kilichopungua
Vingine vyote tayari madeko kunidekeza
Umeniwezea haapo chali mi ushaniuwa
Penzi lako mradi naweza kuuulikopea
Mamlaka yenye kodi watudai na fidia
Aah! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia
Hhhhmm! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia
Ufukweniiiii
Ufukweni mwa bahari aaah! Mikono
Mikono tumeshikana aaah! Mawimbi
Mawimbi yameshamiri
Nyoyo ziiime! Nyoyo zimesemezana
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Aah! Upande kanga ukinivalia
Kiunoni shanga zinachungulia
Ndo ugonjwa wangu, ndo ugonjwa waaa aaah!
Wala siendi kwa mganga wakaniibia
Mama nyakanga nimemrithia
Sio shida zangu, sio shida zaaa
Na aah! Huba lako biriani
Lenye shombo shombo ya mbuzi
Aiiy napenda unavyonisifu laini
Aah! Nafaa kwa matumizi
Ufukweniiiii
Ufukweni mwa bahari aaah! Mikono
Mikono tumeshikana aaah! Mawimbi
Mawimbi yameshamiri
Nyoyo ziiime! Nyoyo zimesemezana
Kwako nimezama (Kwako nimeraaa niko rarararara)
Kwako nimezama (Kwako nime nimezaama)
Kwako nimezama (Oooh nimezaa nimezaama)
Kwako nimezama (Kwako nime eeeh eeh zama)
Hili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani
Hili penzi limemshindwa shetani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani
Writer(s): Abduli Hamisi Mtambo, Zuchu, Zuhura Othman Soud
Lyrics powered by www.musixmatch.com