Nejlepší skladby od interpreta Solomon Mkubwa
Podobné skladby
Kredity
PERFORMING ARTISTS
Solomon Mkubwa
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Solomon Mkubwa
Songwriter
Texty
Nalimngoja Bwana kwa zaburi
Akaniinamia akanisikia kilio changu
Akanipandisha toka shimo, shimo la uharibifu
Akanisimamisha Bwana, toka udongo wa utelezi,
Akasimamisha miguu yako mwambani, Bwana wangu wee
Akazisimamisha hatua zangu, akazipanga sawa sawa
Ili nimtumikie ee eh, ndio sifa zake zimekaa midomoni mwangu
Ameweka wimbo mpya midomoni mwangu
Ndio maana ninaamba sifa zako Mungu wangu
Ndio maana kila siku nashuhudia wema wake Bwana
Futa futa machozi usilie tena, kibali kiko juu yako
Simama kama shujaa, ushambulie malango*
Sayuni imekukubali
Hatutaki kulia lia sana, hatutaki ukristo wa kulilia sana.
Sisi ni washindi, hata tupipitie moto haitatuchoma
Hata tukitupwa baharini, samaki haitatumaliza
Hata tupitie maji, haitatukarigisha, maaana sisi ni washindi. Mkristo simama kama shujaa, ushambilie malango
Umepewa mamlaka na kibali, mbona umeonelewa na adui
kiasi hii, ebu simama kama shujaa, mpingeni adui naye atawakimbia, sisi ni washindi zaidi ya washindi.
Futa futa machozi usilie tena, kibali kiko juu yako
Simama kama shujaa, ushambulie malango*
Sayuni imekukubali
" Lazima tujiamini lazima kujitwaa, tumepewa mamlaka
ya kukanyaga nyoka na yule ibilisi, na kila ufalme wa
ulimwengu wa giza, hazina mamlaka juu Yeu"
Futa futa machozi usilie tena, kibali kiko juu yako
Simama kama shujaa, ushambulie malango*
Sayuni imekukubali
Writer(s): Solomon Mkubwa
Lyrics powered by www.musixmatch.com