Songtexte

Yooh Yop Na na na na na naa naaah Oh oh ooh It's new Aloneym Wapi unawaumizaga niambie tuwakomeshe Tuwakomeshe vishada wavimbe wateseke We nipende tu nipe na nyota nitembelee Wachawi vigagula baby tushikane tuwakemee We ni dokta mi mgonjwa ndomaana nikikuona mwenzako ninapona Umenijaa akilini ndomaana nakutaja mwenzako kila ngoma Baby tuifiche hiyo siri Tusionyeshe dhahiri Wanga wanasubiri waone utavyonimwaga Wambili awe mbili wakwanza tuwe wakweli Aah natakata takata natakata na penzi lako Na nitadata nitadata ukininyima hicho ulichokuwanacho Naridhika ridhika naridhika na huba lako Nakuahidi nitakufa nikija kulikosa hilo penzi lako Bembea mahabuba bembea oooh Bembea nakuruhusu ning'inia kwenye moyo wangu Bembea laazizi bembea ooh ooh ooh Bembea mwenzako nasikia raha sana Nasi tunazima data Simu zao tunakata Tugandane kama mapacha wawili wawili wakeleke kamili Yooh Ulivyomtamu raha tele sukari usiongeze Ujuzi unao uzuri unao nashiba mahaba nilegeze eh Aaah ukinigusa unasisimua Mjanja bingwa wakusasambua Umeniweza mtoto wakishua Shida zangu zote unatatua Ndio maana nakupenda palipoufa tujenge Usisikize wapambe we, we nipende nikupende Na ndio maana nakupenda Baby tuifiche hiyo siri Tusionyeshe dhahiri Wanga wanasubiri waone utavyonimwaga Hey wambili awe mbili wakwanza tuwe wakweli Wambea wanasubiri wapate chakusemaga Bembea bembea unawamaliza Bembea wakose chakusemaga kula kutafuna Bembea bembea unawamaliza Bembea wakose chakusemaga kula kutafuna Na na le le wale Oh ooh yei yeeih Oooh ooh Ooh oh
Writer(s): Ali Saleh Kiba, Aslay Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out