album cover
Sijui
65.174
Pop
Sijui wurde am 24. November 2023 von Ziiki Media als Teil des Albums veröffentlichtVisit Bongo
album cover
Beliebteste
Letzte 7 Tage
00:20 - 00:25
Sijui wurde in der vergangenen Woche am häufigsten etwa 20 sekunden nach des Songs entdeckt
00:00
00:05
00:20
00:40
00:50
00:55
01:00
01:10
01:35
01:50
01:55
02:05
02:10
02:25
02:40
02:45
03:00
00:00
03:22

Credits

PERFORMING ARTISTS
Harmonize
Harmonize
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Rajabu Ibrahim Abdukahali
Rajabu Ibrahim Abdukahali
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
B boy Beats
B boy Beats
Producer

Songtexte

Konde boy call me number one
Bakhresaaa
Mmmh
Picha na tattoo nitazifuta na kama pesa nitatafuta
Vipi kuhusu upendo wangu wa dhati
Wambea kama nawaona wakinisuta kiko wapi yamemkuta
Pindi nitakapokuwa sio tena wako wa dhati
(Mmmh)
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like am falling love for the first time
Am never seen love this before yes for sure
(Mmmh)
Yupo wapi yupo wapi mzuri wakumshinda babe wangu yuko wapi
Ooh yupo wapi anaejua thamani ya pendo langu yupo wapi
Nauliza yupo wapi ama mimi nimeshadate na wangapi yupo wapi
Ooh yupo wapi yupo wapi nimuone anaenijua mimi hakuna
Wengi wanakuja kunichuna wakijua kwamba pesa hakuna
Mara watanuna na kisa hakuna mape mapeenzi
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like am falling love for the first time
Am never seen love this before yes for sure
Written by: Rajabu Ibrahim Abdukahali
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...