album cover
Dunia
13
Afro-Pop
Dunia wurde am 5. April 2024 von Lady Isa als Teil des Albums veröffentlichtMalembe - EP
album cover
Veröffentlichungsdatum5. April 2024
LabelLady Isa
Melodizität
Akustizität
Valence
Tanzbarkeit
Energie
BPM123

Credits

PERFORMING ARTISTS
Lady Isa
Lady Isa
Performer
COMPOSITION & LYRICS
ISABELLE BEGUIN
ISABELLE BEGUIN
Songwriter

Songtexte

Sakana Mama, Keba na la vie
Basala Kala Basuka na finale
Sakana Mama, Keba na la vie
Basala Kala Basuka na finale
Oooh Mwanangu Dunia ina mambo
Sikia maneno nakuambiaga
Mpe Roho yakoo Mola wako
Heshima kwa wazazi eeh mwanangu
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Chunga mwenzio atakudanganya
Kwa yoyote ile atapenda yeye
Kipenda rohoo Kila mtu na yake
Yake ni yake na yako ni yakoo
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Mwendo wa kobee
Mayelemayele
Mwendo wa chui
Kuwindawinda
Mwendo wa nyoka
Lukumbalukumba
Mwendo wa ngalama
Kwa njia ya paradii
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Taabu na raha ina kungojea
Inategemea akili yako
Tafuta eeh... Utapata eeh
Kumbuka maneno nakuambiaga
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Chunga mwenzio atakudanganya
Kwa yoyote ile atapenda yeye
Kipenda Roho Kila mtu na yake
Yake ni yake na yako ni yakoo
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Taabu na raha ina kungojea
Inategemea akili yako
Tafuta eeh... Utapata eeh
Kumbuka maneno nakuambiaga
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Dunia hii mama
Lukumba lukumba
Dunia ina mambo
Mwendo wa ngamia
Sakana Mama, Keba na la vie
Basala Kala Basuka na finale
Sakana Mama, Keba na la vie
Basala Kala Basuka na finale
Written by: ISABELLE BEGUIN
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...