album cover
Mwisho
89.578
Afro-Pop
Mwisho wurde am 9. Juli 2021 von Killy Tz als Teil des Albums veröffentlichtMwisho - Single
album cover
Beliebteste
Letzte 7 Tage
00:25 - 00:30
Mwisho wurde in der vergangenen Woche am häufigsten etwa 25 sekunden nach des Songs entdeckt
00:00
00:25
00:35
01:00
01:05
01:20
01:25
01:35
01:55
02:00
02:20
02:30
02:35
02:50
00:00
03:03

Credits

PERFORMING ARTISTS
Killy Tz
Killy Tz
Performer
Killy
Killy
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Killy
Killy
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
NEKSAZY
NEKSAZY
Producer

Songtexte

Ukweli mama unauficha tena unaniruka kando nisijitete
Ajali kila kukicha ex wako ananitoka mafumbo ili unipotee
Kweli mnatumiana picha tena nakuunganisha bando ili mnitete
Ndo mana havikauki visa au labda unirudishe jando nikajitete
Aah! Kumbe kimya kimya anachachua mana unavyomsifiaga kwa Insta
Unaniona kima unajichetua eti nilikulazimishaga unapita
Umenizima umenibidua sidhani kama nimehakunjaga ndita
Nishakupima nimekugundua na hili nishalipigaga
Hakura marefu yasiyo na Mwisho! Mwisho!
Lolooh aaah
Yani Bora tufanye iwe Mwisho! Mwisho!
Tusiendelee Aaah
Basi nimeshindwa mie Mwisho! Mwisho!
Yani ni bora iwe Mwisho
Mwisho! Misho! Mwiiiiiiih
Maumivu.! Moyo wangu una maumivu uuh
Vidonda aaa aah!
Mwili umepatwa na uvivu penzi limegeuka majivu uuh!
Nahisi kukonda aaa aah yeye eeh!
Aaah.! Eti tufe tuzikwe wote yani hukudhamiria chochote
Nafsi umeikatili katili acha tu nikukimbie eeh!
Nakuridhisha ma nakupa vyote kweli nahudumia cha wote
Basi we batili batili picha zisinirudie eeh!
Oooh baby!
Aah! Kumbe kimya kimya anachachua mana unavyomsifiaga kwa Insta
Unaniona kima unajichetua eti nilikulazimishaga unapita
Umenizima umenibidua sidhani kama nimehakunjaga ndita
Nishakupima nimekugundua na hili nishalipigaga
Hakura marefu yasiyo na Mwisho! Mwisho!
Lolooh aaah
Yani Bora tufanye iwe Mwisho! Mwisho!
Tusiendelee Aaah
Basi nimeshindwa mie Mwisho! Mwisho!
Yani ni bora iwe Mwisho
Mwisho! Misho! Mwiiiiiiih
Written by: Ally Killy Omary, Killy
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...