Στίχοι

(Ayolizer) Kukudekeza kama mtoto, furaha unafurahia Alafu geuka moto, machozi unalia Mwembamba, mwenene Uwe na pesa kama Dangote (Dangote) Penzi halijali umasikini Laweza penda mtu yoyote Penzi sio somo ukasome kwa kitabu Penzi limefanya Harmonize afukuzishe Mwarabu Penzi yoyoyo, limeleta kwa wanangu vita Siku hizi siwaoni naishia kuwalike Insta Hivo asiyekupenda achana naye Anayekupenda pendana naye Mambo stress ya nyumba ndani Ebu cheza ufurahi Kama songi limekolea Asa inama Ebu pinda mgongo (ooh ngo-ngo-ngo) Oya inama (inama baby) Basi pinda mgongo (ngo-ngo, ngo-ngo-ngo) Asa inama (inama baby) Ebu pinda mgongo (kama tungi limepoza) Oya inama Basi pinda mgongo Toujours l'amour ebandaka n'esengo Ba bisous, ba calins, ba cadeaux Ba "je t'aime" tout le temps Maw'eleka wapi? Bébé na nga aza présente Soucis eleka wapi? Chérie na ngai azali eh Tango nionso alobelelaka nga "je t'aime" Baloba, baseka oh Baloba, baseka oh, nga nako lembe té Baloba, baseka oh Baloba, baseka oh, nga nako lembe té Chérie na nga aza kitoko Bébé na nga aza elengi trop Chérie na nga aza kitoko Bébé na nga aza elengi trop Parfois l'amour est compliqué Mais chérie à moi toujours romantique Asa inama (woh-oh-oh) Ebu pinda mgongo (nakupenda mtoto) Oya inama (bana inama) Basi pinda mgongo (bébé na ngai eh) Asa inama (na lela yo-oh) Ebu pinda mgongo (woh-oh-oh-oh) Oya inama (oh ya inama) Basi pinda mgongo Asa nionyeshe unanyonga je Nyonga, nyonga kibasikeli, nyonga Kaa kibasikeli, nyonga kama kibasikeli Ah kiuno kifanye pedeli Nyonga, nyonga kibasikeli, nyonga Kaa kibasikeli (nyonga yoyoyo) Nyonga kama kibasikeli (ah nyonga) (Nakupenda mtoto) Nyonga, nyonga kibasikeli, nyonga (woh-oh-oh-oh) Kaa kibasikeli Nyonga kama kibasikeli Nakucheza ka goma la kashikwa midadi Analishare lishare Analishare lishare (anali') Analishare lishare Eh bia za kitonga kachanganya na nyagi Analishare lishare (yuko bwi) Analishare lishare (silali) Analishare lishare (oh-oh-oh) Eh, Samuel Eto'o Didier Drogba (Wasafi) Fally Ipupa, Tokooosss Toza likolo Bakokoka té (bakokoka té)
Writer(s): Falli Ipupa N Simba, Nasibu Abdul Juma Issaack Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out