Συντελεστές

PERFORMING ARTISTS
Domani Munga
Domani Munga
Background Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Domani Munga
Domani Munga
Songwriter
Toxic Lyrikali
Toxic Lyrikali
Songwriter
4Mr Frank White
4Mr Frank White
Songwriter
Dillie Freddy
Dillie Freddy
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Dillie Freddy
Dillie Freddy
Mixing Engineer

Στίχοι

[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Verse 1]
Put your guard down, watu wanabaha chuna madawa
Iba nyota chuna majani kuku mabawa
Aha-aha leave alone wakulipwa wakigawa
Na nilikuwa na assosiate tukeki sai tuna mabawa
[Verse 2]
Piga dhafu hizi ni zing, keche zangu zinararu
Vile nina degree niko na kama degree tatu
Vamos, niko na app ya kuuza geneza online
Na zote ziko kwa kadus
[Verse 3]
Cheat cheat! usiniaribie moodi
Unaeza aje piga hadi njapi ndani ya hoodie
Toa hizo cladi nione goodies
Hmm! Imagine alisema ni baddie plus foodie
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Verse 4]
Nilieka doh kwa meza intetionally
Avuke nazo asione bravy
Shingo imejaa muscle niudoz na mali
Rahisi kumtrace ju silali mbali
[Verse 5]
Tayari ako na maparma za sanka
Ni ati alafu kumgeuza mama perma
Exile si Dala ye hujichakanga Kianda
Na dress inawanyoa, kwa face ka Rihanna
[Verse 6]
Hmm! Lazima utazama
Kwanza before ya mechi aliwasha ki-durban
Jirani na ufala, tukiangia alituona
Nikitokwa Bravia alilala
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Verse 7]
Najifanya nimezima but namchungulia
Kashanitepa vitu sijaitumia
Namuuliza rada gani can we cuddle up
Anauliza rada kwani, kwani hutaki kula nyap?
[Verse 8]
Kashaniwai na hapo mambo vulai
Nilimpick Githu Uncle Sam na kirai
Ati wapi? Eeh nilimpick Githurai
[Verse 9]
Nimekushow mara ngapi rada chafu utaumia
Lakini alikuwa ameiva figa nayo mama mia
Next time uache ufala, next time fikiria
Rada chafu, bro si uniekee ata ka mia
Nimepaka na iko mbaya leo unaeza angamia
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
[Chorus]
Din-da-din-da, my gwand-a na mira
Simu umezima, my catelina
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Usingizi after mechi haitaki denge dingo
Written by: 4Mr Frank White, Dillie Freddy, Domani Munga, Toxic Lyrikali
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...