Credits
PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Vocals
Mrisho Mpoto
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Mrisho Mpoto
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Bob Manecky
Producer
Lyrics
Poleni wale usiku hatujalala, wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa vifo hasara, poleni sana ndugu zangu
Mpaka sasa hawana pakulala, watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala, poleni sana ndugu zangu
Poleni wale usiku hatujalala (Oh, oh), wale mabomu yamewapa madhara (Ah, ah)
Yalosababisha maafa vifo hasara, poleni sana ndugu zangu (Gongo la Mboto)
Mpaka sasa hawana pakulala (Eh, eh), watoto bado njaa hawajala (Ah, ah)
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala, poleni sana ndugu zangu
Eh, Mola, ona wanao tunakwenda, eh, tunakwenda, tnakwenda, tnakwenda, tnakwenda
Kila siku matatizo, Baba tushike mikono
Walosema idadi ya watu kadhaa, eti wengine maje raha
Ona wegine wamejifungua, masikini moja bado
Shida za maisha si usiku si mchana, na majanga yanazidi twandama
Huku majukumu yame Tanzania, oh mama
Kuhusu maidha si usinu si mchana, majanga yanzidi twandama
Huku majukumu yame Tanzania, oh mama, iyee
Poleni wale usiku hatujalala, wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa vifo hasara, poleni sana ndugu zangu
Mpaka sasa hawana pakulala, watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala, poleni sana ndugu zangu
Poleni wale usiku hatujalala, wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa vifo hasara, poleni sana ndugu zangu
Mpaka sasa hawana pakulala, watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala, poleni sana ndugu zangu
Written by: Diamond Platnumz, Mrisho Mpoto

