Music Video

Music Video

Credits

Lyrics

[Verse 1]
Mapenzi yamenibadilisha
Siku hizi sinaga ubabe
Nishakuwa guta
Niache moyoni niyabebe baby
[Verse 2]
Mimi ni kuku wako
Ukitaka mayai niyatage sema
Na ujinga
We nisitiri usinibwage
[Verse 3]
Baby matamanio nishatupaga huko
Sintoivua vazi la heshima, ulionivisha kwa upendo
Sina matarajio ya kuondoka kwako
Dunia imeshabadili wengi wakawa vituko
[PreChorus]
Mapenzi sio mchezo wa ngumi
Nipige na khanga au ukuni
Hata ukinifinya finya haiumi
Naona raha
[PreChorus]
Naisoma namba kwa kirumi
Huu mchezo gani mbona wa kihuni
Hata ukinifinya finya haiumi
Aah naona raha
[Chorus]
Unanijaza upendo mpaka unatiririka (Tiriririi)
Unanitiririka (Tiriririi)
Tiritiririririririi (Tiriririi)
Upendo unanitiririka mie (Tiriririi)
Tiriririi
[Verse 4]
Natiriririka kama si diaba najaza ndoo
Raha nnazompa eti kama marhaba nikimpa shikamoo
Haniachi njiani nafika, mi kwake Yes sisemi No
Siwezagi kususa nisipomuona, wafukuta moyo
[Verse 5]
Asante angalau umenionesha maana ya upendo
Na sio kwa nahau (Kwa nahau)
Umenionesha kwa vitendo
[Verse 6]
Sitokaaga nisahau
Nilinyanyasika hapo mwanzo
Niliyaoga madharau
Kwa kumpenda asiojali upendo
[PreChorus]
Mapenzi sio mchezo wa ngumi
Nipige na khanga au ukuni
Hata ukinifinya finya haiumi
Naona raha
[PreChorus]
Naisoma namba kwa kirumi
Huu mchezo gani mbona wa kihuni
Hata ukinifinya finya haiumi
Aah naona raha
[Chorus]
Unanijaza upendo mpaka unatiririka (Tiriririi)
Unanitiririka (Tiriririi)
Tiritiririririririi (Tiriririi)
Upendo unanitiririka mie (Tiriririi)
Tiriririi
Written by: Yasin Shaban
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...