Letras

Oh jamani dada danga usiombe bia Mi ndo chura Superstar Malaya wenzako wananijua Nishadanga kila baa Oh jamani dada danga usiombe bia Mi ndo chura Superstar Malaya wenzako wananijua Nishadanga kila baa Jana nimekopa bia Siku hizi sijaongea mada Nikakugombania Na ukipata bwana ng'ang'ania Jana nimekopa bia Siku hizi sijaongea mada Nikakugombani Na ukipata bwana ng'ang'ania Oh jamani inakaa mabwana Nataka kulala naye Malaya nishadanga mji mzima Sioni wa kutoka naye Oh jamani inakaa mabwana Nataka kulala naye Malaya nishadanga mji mzima Sioni wa kutoka naye Mi nataka nitoke na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Oh jamani mimi na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Basi mama mimi na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Jamani anamshia tilo, mi naogopa Na naumia mioyo, mi naogopa Namchat anamshia tilo, mi naogopa Na naumia mioyo, mi naogopa Jamani anamshia tilo, mi naogopa Na naumia mioyo, mi naogopa Namchat anamshia tilo, mi naogopa Na naumia mioyo, mi naogopa Kaka unataka mapenzi gharamia Usiombe ya bure utaumia Nishadanga kusini, kaskazini Unakotaka chukua Kaka unataka mapenzi gharamia Usiombe ya bure utaumia Nishadanga kusini, kaskazini Unakotaka chukua Wapi twende popote nakupatia Kwa Lulege mi hata dumu nakalia Sina wenge chupa ya soda napasua Jana nimekopa bia Siku hizi sijaongea mada Nikakugombani Na ukipata bwana ng'ang'ania Jana nimekopa bia Siku hizi sijaongea mada Nikakugombani Na ukipata bwana ng'ang'ania Oh jamani inatamaa machura Nataka kulala naye Malaya nishadanga mji mzima Nimekosa kutoka naye Jamani inakaa machura Nataka kuondoka naye Malaya nishadanga mji mzima Sioni kutoka naye Mi nataka nitoke na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Oh jamani mimi na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Basi mama mimi na wewe Mi siwezi kwenda mwenyewe Jamani anamshia tilo, mi naogopa Na naumia mioyo,
Writer(s): Meja Kunta Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out