album cover
Niache
77,077
Afro-pop
Niache fue lanzado el 2 de febrero de 2018 por Warner Music Africa como parte del álbum Niache - Single
album cover
Más popular
Últimos 7 días
01:00 - 01:05
Niache se descubrió con más frecuencia alrededor de 1 minutos después la canción durante la última semana
00:00
00:05
00:20
00:25
00:30
00:45
01:00
01:30
01:40
02:15
02:35
02:50
02:55
03:15
03:20
03:50
00:00
04:00

Créditos

Artistas intérpretes
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Voces
COMPOSICIÓN Y LETRA
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Composición
Producción e ingeniería
Hasa Bonga
Hasa Bonga
Producción
Lizer Classic
Lizer Classic
Producción

Letra

Hhhhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (hhhmm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (ooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (hhmm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (hhhmm)
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache...!
Niache...!
Niaache...! Oh niache
Niache...!
Nipambane na moyo wangu
Niache...! (Niiaaa...!)
Niache...! (Moyo wangu una hasira)
Niaache...! Oh Niache
Niache...!
Oooh oh!
Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Hhhhmm
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Hhhhmm
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache...! Oooh niachee
Niache...! (Mimi moyo wangu una hasira)
Niaache...! (Tena ukae mbali)
Niache...! (Oooh niachee)
Niache...! (Usiwapigie rafiki zangu)
Niache...! (Usithubutu hata simu yangu)
Niaache...! (Chonde tafadhali)
Niache...! (Niiaaa...!)
Iyoo Lizer
Hhhhmm
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudanganya kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Mfyuuuuuuu
Written by: Diamond Platnumz
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...