album cover
Nitafika
343
Christian & Gospel
Nitafika fue lanzado el 20 de diciembre de 2024 por MGATHA como parte del álbum Nitafika - Single
album cover
Fecha de lanzamiento20 de diciembre de 2024
Sello discográficoMGATHA
Melodía
Nivel de sonidos acústicos
Valence
Capacidad para bailar
Energía
BPM80

Créditos

ARTISTAS INTÉRPRETES
Bebycia Ramuel
Bebycia Ramuel
Voces
COMPOSICIÓN Y LETRA
Bebycia Ramuel
Bebycia Ramuel
Autoría

Letra

Hakuna lenye mwanzo lisikuwa na mwisho ndugu zangu, kama Kuna huzuni basi furaha pia ipo,
Biblia inasema imekwisha,
Yesu alichukuwa huzuni zetu ili tuwe na furaha
Imekwisha imekwisha furaha yaja🙌😀
Hizi shida zina mwisho ipo siku nitacheka na mimi
Hizi shida zina mwisho ipo siku nitacheka na mimi
Verse 1
Ooouh ooouwwhooo
Niwa wale marafiki niwale majirani
Mlosema sitofika ziwafike habari
Mungu wangu ni yule yule kwenye dhiki ni yule yule wa rahani aliye ruhusu yanifike ndie atamaliza
Kwaiyo nitafika
Aahh nitafika
Hata kwa machozi nitafika
Ahaaaaahaaaaa
maana najua mbele yangu Kuna furaha Tena
nasema nitafika
Aaaaah nitafika
hata kwa mateso nitafika
hata kuwe na Bahari mtanikuta
ng\'ambo
mungu wangu ni yule yule aliyafanya yake kule atafanya yake pale atafanya mengine ooouwwh ooooh ohoo
CHORUS
Hizi shida zina mwisho ipo siku
nitacheka na mimi
Hizi shida zina mwisho ipo siku nitacheka na mimi
VERSE 2
Heeeeee hakuna changamoto maishani zinadumu milele milele milele
Wala hakuna kitu duniani kinachodumu milele milele
Anaedumu ni Mungu pekee
Mungu aliye hai mwenye uhai
Arejesha tabasamu
Kwaiyo nitafika
Aahh nitafika
Hata kwa machozi nitafika
Ahaaaaahaaaaa
maana najua mbele yangu Kuna furaha Tena
nasema nitafika
Aaaaah nitafika
hata kwa mateso nitafika
hata kuwe na Bahari mtanikuta
ng\'ambo
mungu wangu ni yule yule aliyafanya yake kule atafanya yake pale atafanya mengine ooouwwh ooooh ohoo
Hizi shida zina mwisho ipo siku
nitacheka na mimi
Hizi shida zina mwisho ipo siku nitacheka na mimi
Zina mwisho Zina mwisho oohooo yeee mimi nasema Zina mwisho zina mwisho zina mwishooo
Written by: Bebycia Ramuel
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...