Crédits
INTERPRÉTATION
Jay Melody
Chant
COMPOSITION ET PAROLES
Sharif Saidi Juma
Composition
PRODUCTION ET INGÉNIERIE
GENIUSJINI X66
Production
Paroles
[Verse 1]
Ninavyoonekana kama nina ulafi, onhoo
Ninavyoonekana kama nakuja kasi, anhaa
Najua unahitaji kidogo nafasi, enhee
Na mie ndio hivyo nishakolea nazi, anhaa
[Verse 2]
Huwa naota uniita, sauti yako inavuma toka mbali
Mizigo yako nitajitwika
Niko tayari mie kuanza safari
Kuna wakati ni usiku saa tisa
Unaongea na mimi haulali
Hivyo vitu vyanimaliza
Na kukuacha kwa kweli sitakubali
[PreChorus]
Yani sitosheki mimi
Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi
Nipete huko chini kwa chini
Naibuka nikizama kama samaki baharini
Ohh
[Chorus]
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
[Verse 3]
Taratibu nishapenda
Wangu moyo ushalenga
Vya ndani utamu, nishalamba
Oh dear, oh mama
[Verse 4]
Umenipa mapenzi, naona utajiri
Siwezi kuificha siri
Penzi maradhi nishapata
Unavyonijali dakitari
[Verse 5]
Mbona raha aah
Ndo ujue kama hakuna
Mimi bila wewe
Sitamani nikuache usiniache
[PreChorus]
Yani sitosheki mimi
Unazidi kunichanganya au nilambe na ulimi
Nipete huko chini kwa chini
Naibuka nikizama kama samaki baharini
Ohh
[Chorus]
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
Mapenzi yako mvua, nishalowa
Mapenzi yako jua, lanichoma
Written by: Sharif Saidi Juma

