album cover
Aah Wapi
1 811
Music
Aah Wapi est sorti le 12 décembre 2003 par Sony Music Entertainment East Africa dans le cadre de l'album Ugali
album cover
AlbumUgali
Date de sortie12 décembre 2003
LabelSony Music Entertainment East Africa
Qualité mélodique
Acoustique
Valence
Dansabilité
Énergie
BPM92

Clip vidéo

Clip vidéo

Crédits

INTERPRÉTATION
Juma Nature
Juma Nature
Interprète
COMPOSITION ET PAROLES
Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)
Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)
Composition
Juma Kassim Ally (Juma Nature)
Juma Kassim Ally (Juma Nature)
Paroles
PRODUCTION ET INGÉNIERIE
P-Funk Majani
P-Funk Majani
Production

Paroles

Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachongasana (aah wapi)
Kuna mambo mwera huwa siyahusudu
Ni sawasawa na yale ambayo huwa wanafanya wadudu
Wadudu walio wengi na hasa wale waharibufu
Washazoea umbea fitna na kujenga bifu
Wanafanya uchunguzi kutoa wanaogopa tifu
Si migazeti mingine inalaani kuwa mtulivu
Nilichogundua mimi kumbe inataka iuze
Hii naitoa live na nataka mjifunze
Sasa hivi tutakatana mapanga siku ambayo nitachoka
Mbona nyinyi hamjiandiki kuwa mnabaka dada zetu?
Kila siku niache demu alienipenda niliempenda
Nikijiskia uchovu tu ananipa denda
Ananipa ushauri vipi biashara inakwenda
Hata mnichome moto kwanza kuniua ni kama ndoto
Mtakufa na viburi vyenu vya roho mlionavyo hivyo
Wengine ni mijamaa ambayo kila siku ina wivu
Wanataka wanipotoshe niwafate wengine niwe jivu
Nimewashtukia hamnipati ng’o
Tabia hazilingani mbinguni moto wa kijani
Mtawezaje kutuzuia jama kwani kitu gani?
Wako kama wangu kwanini ummezee mate?
Halafu nikipita mimi kwanini unatema mate?
Mwingine anakukuta upo kwenye mood nyingine
Halafu yeyeanakupa story nyingine
Wengine wananong’onezana mimate wanatemeana
Sijui kwanini wengine wanakuaga ni wambea
Mtavalishwa kanga shauri yenu
Halafu muanze kupita njiani halo halo
Mwanamke kuupara babu wee
Niachie mimi msela mgumu mwenye kuukaanga mbuyu
Mi ndo nshashinda niacheni mwenye meno nitafune
Vigenge havisaidii maneno muongeze bidii
Mnaweza mkajitahidi hebu ongezeni ongezeni bidii
Hata mjaze gunia la maneno siwasikilizi ng’o
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Mwanamke wa bongo sharti umgharamie
Usipomgharamia wenye vitambi watakuchukulia
We unafikiri mwanamke wako atavumilia
Kuwaona mashoga zake mtaani wakimtanulia
Mwenzie *** kanunuliwa cheni ya dhahabu
Halafu kila jumapili tunaenda kumcheki muumini
Habari ndio hiyo washkaji hata mkinuna
Ni ngumu kuliacha baga wakati njaa inakubamiza
Unajaa uko ndefu kuanzia asubuhi hujaingiza
Na baga haina uchu kama utamu wa sambusa
Nimuache demu wako eti kisa kasema musa?
Musa si kama paka kila kitu ananusa
Yameshamshinda yake sasa anafata ya wenzake
Midemu iko mingi kama bilioni ishirini na tisa
Lakini nikitaka kuwafata tu roho yangu inasita
Yote ni shauri ya upendo wa kweli mkimind mtakufa
Wabongo sjui vipi hatuskii kivipi vipi
Jana kulikua na mtu amekufa kwasababu ya ngoma
Nikajivuta ili na mi niweze kuona
Ana ngoma ana ngoma wallahi hatopona
Alikufa na vikunyanzi utadhani mwili ameshona
Sasa faida iko wapi mbona mnanifata fata jama?
Niacheni na huyu ambae mnaniona kuwa chizi
Siwezi kumuacha kamwe nimfate nyambizi
Eti demu wako hafai hafaihafai
Na tena haongei hayo akiwa amekunywa pombe
Mtu mzima ana ndevu za osama lakini aibu hana
Si useme tu unatafuta njia tuachane
Ili umchukue mkale ndege mjichane
Acheni wivu wa sifa demu hataki *** kushika
Wengine mnazoza eti demu ana mimba
Ulimpa wewe??
Wengine wanasema hanipendi anataka mavumba
Wakati wako haujafika ukifika ntakutaarifu mdanganyifu mkubwa we
Tena hufai
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Sijui kama itawezekana (aah wapi)
Mtu niliyempenda sana (aah wapi)
Tukaja tukafarakana (aah wapi)
Sababu wanachonga sana (aah wapi)
Written by: Juma Kassim Ally (Juma Nature), Paul Peter Matthijsse (P-Funk Majani)
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...