गाने

Ngongingo, wowowo! Ana ngongingo, wo-wo (It's S2kizzy Beiby) Ngongingo, wowowo Ana ngongingo, wowowo Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ngongingo, wowowo Kamodomodo lake dogo dogo (Ngongingo) Akiwa na kubwa la mitego tunaita (wowowo) Kama mchina na anakunywa vidonge (Ngongingo) Akipewa na mama lake kweli kweli (Wowowo) Kama ni gumu gumu, gumu cimenti (Ngongingo) Kama kina dunda dunda dunda kitenesi (Wowowo) Pishanisha miguu jibenue kwenye picha (Ngongingo) Ka umepigwa pasi kigodoro kinahusika (Wowowo) Posh queen Sanchoka Pachu pachu (Wowowo) Vipi la Menina Wa mwijaku (Wowowo) Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ana ngongingo, wowowo Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ngongingo, wowowo Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ngongingo! Eeh kama Semitera Mneso mneso nyuma kalambwanda wowowo Ebo! Kama kiduchu hakinesi kwa kanga Ngongingo! Ah! ah! la mama Paula Kajala Masaka (Wowowo) Eh bwana! Vipi cha Nandy We! Kinabamba (Ngongingo) La Vera Sidika (Wowowo) Gigy misifa (Wowowo) La shishi baby Pale akiwa anapika (Wowowo) Ke kerekeke (Ah kekeke) Aaii kekeke (Aai kekeke) Irene Uwoya we lazima akuteke Nasema ke kerekeke (Ah kekeke) Aaii kekeke (Eeeh kekeke) La madam Wema je Wapi tuliweke? (Ngoo!) Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ana ngongingo, wowowo Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ngongingo, wowowo Nampenda! Ana ngongingo, wowowo Ngongingo! Wowowo Ah inama eh (Aina, ainama ainama eh) Tuonyeshe una nini Ainama eh Ah inama eh (Aai na, ainama ainama eh) Ngongingo, wowowo? Ah inama eh (Aina, ainama ainama eh) Tuonyeshe una nini Ainama eh Ah inama eh (Aai na, ainama ainama eh) Ngongingo, wowowo? Hahahaha All in all tumeua (Kwa Mix Lizer)
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Raymond Shaban Mwakyusa, Revokatus Chipando Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out