क्रेडिट्स
PERFORMING ARTISTS
Lil Breezy Tz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Lil Breezy Tz
Lyrics
गाने
Tryna get n0w wana wana hang,
nikipata pesa tunakula w0te ila wao wanakula na madem,
acha uzuxh we bishow bro,
s0 ukipenda vya kushuka utaonekana lazy kwa kila sehem,
nnavyo haso mi u never n0w,
nikitoka jasho kutwa kutafuta doo,
hata habar za madem mm kwangu n0,
Kwanza ulipo wew now,
Wewe na wanao
Mi nishapita before maan
What's going on,
Now ni zamu yangu inaonenaka kubwa pole lakini me si na pay,
Harakati ya matapeli kwa mitaa na ku bet wanabonga naongea ni kweli wala sichochei
Mi na boa staki feli inaonekana unachukia na hata ni ukiichukia hakuna kitu una ni bless
Yani vita kweli kweli kama train kwenye reli then am murdering case alafu mi napita race noww
Rrrrrrrrrrraaaaaaahhhhh
Time. Rrhhhaah
time
Rrrrrrrr
time
Rrrrrrrrrrraaaaaaahhhhh
Time
Time rrrrrrrr
Time Time Time
Time to assign war
And am gotta news for ma new friends
Kwanza mimi ndo balozi kwenye hili game
Dakykm no matter they talk
I don't bother they know
Nnacho mata mi naa big fame
So we una ni diss na unasema game
Lil moma anae ni kiss siwezi mwita dem
Anapepea kuni bless naonekana niko smart
**** whaat....!
Niko fit nikitoka ni haunipaattt mbaka weekend
Rudi ndani maana nje ni kwa moto
Lil Breezy mi naleta changamoto
Rhymes Kali pia na beat mwendokasi
Simu ziko shazi mida ya kazi kazi wazi wazi
Rudi ndani maana nje ni kwa moto
Lil Breezy mi naleta changamoto
Rhymes Kali pia na beat mwendokasi
Simu ziko shazi mida ya kazi kazi wazi wazi
Am take on bullyrock en burst on your head
TTAW
Nishachafua kitaaaa...// na wana ni balaa
Wanaona picha picha na wanabaki wanashangaaa
Napambana ile kinyama naa hustle ni balaa
Motot wangu kama taa..// mi nembo ya mtaa
Nembo ya mtaa
Wana wana blw kama nn,
haterx wakindis m ni speed mia themanini,
Kama lambogini,
leo hii ni sauti ya kusini,
mechafukwa na hizi verse sina suti wala nini,
nawachanganya navocheza na maiki
ka umeme chanya
mi ndo buffalo pekee nnaepita tundu la panya
ukikimbia ndo utaruka maji utakanyaga fire
dalykm ni inamana nsije nkakufanya mbaya
look
look navochana nikichana nachanika
atakama we ni rapper ki feki huwezi kufika
ukileta ujinga nakugonga pia nnakuzika
time to asign war ivi sasa nimefika
kicks never dripp na imagi ka nover real
i don need for the drugs to the grass am goin fill
I jus wanna willing on my dream got tha wanna winning
I don rush on ending i know i wanna get the blessings
Hivi mnasikia au vipi
Maswali mengi sana kwani vipi
Nilisha waambia huu mtiti
Mi ndo king nimekaa kwenye kiti
Punch kali ka mandonga
Na ndo maana kwenye beqt tuna match na nnasonga
Na everybody you wanna know
Kwangu mwiko mi kuhonga
Nikiona dadaz wanakuja taratibu natambaa ka kinyonga
Huhh
And am gonna use for my new verse
Hii ni pawa moja kubwa kama universe
The place nlipo mimi huwezi fika kiwepesi
Written by: Lil Breezy Tz