क्रेडिट्स

PERFORMING ARTISTS
Zee Cute
Zee Cute
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Zaina Haji Mchombora
Zaina Haji Mchombora
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Chipaka
Chipaka
Producer

गाने

(Chipaka on the beat)
Asubuhi kukikucha huwa nampa chai
tena bila vitafunwa ila anafurahi
Akicheka akinuna huwa haikatai
Ntampigia na vinanda nimsabahi
Hata Mungu ndiye shahidi
Mwenzenu mi nafaidi ananipatia joto
Nikisikia baridi
Na ndo maana najitahidi kumtunza kwa bidi
Asije tekwa na Watoto wa osama gaidi
Wanaosubri tuachane mbona
(Bado bado)
Bado bado niko na yeye
(Bado bado)
Wanaosubiri tugombane mbona
(Bado bado)
Bado bado niko na yeye
(Bado bado)
Ndo maana nikilala na yeye analala
Na kama nikitulia na yeye anatulia
Ndo maana nikikula na yeye ankula
Siwezi mbania akitaka nampatia
Hata akiondoka dakika moja mi huwaga nammisi
Yaani kashanichanganya na sioni wa kumrithi
Ananifanya natabasamu mpaka nashindwa kujifahamu
Halali wangu mtaalamu hata akinikonyeza huwa nacome
Hata Mungu ndiye shahidi
Mwenzenu mi nafaidi ananipatia joto
Nikisikia baridi
Na ndo maana najitahidi kumtunza kwa bidi
Asije tekwa na Watoto wa osama gaidi
Wanaosubri tuachane mbona
(Bado bado)
Bado bado niko na yeye
(Bado bado)
Wanaosubiri tugombane mbona
(Bado bado)
Bado bado niko na yeye
(Bado bado)
(This is Africa)
Written by: Zaina Haji Mchombora
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...