Lirik

Shamba la babu, nalima Nivune muhogo na shina Ni weh Tambarale mwa milima Kufika kilele lazima Nilishathubutu kupenda nisipopendwa Lakini siachi, ooh siachi Msumali wenye kutu nilichomwa nkapata donda Lakini siachi, ooh siachi Nilikondeana nashukuru hivi sasa mashallah Mambo mwanana Nimesitirika hewalah Nimelipata bwana Lakunidekeza nalala Tumeridhiana sina Muda wa kum chiti wala Eeh Nipo nyonyo Nipo titi (Aah nimejaaa tele) Nalishwa vinono nipo fiti Aah, nimejaa tele Aaah Nipo nyonyo, nipo titi Aah nimejaa tele Nalishwa vinono Nipo fiti Aah nimejaa tele Sitaki chupa ya soda baby niletee energy Wajue upo na mimi watumie meseji ah Mi hoi lege lege Nitupie kwa bedi Kabisa n'garagaze Mpaka ni dead Nilishathubutu kupenda nisipopendwa Lakini siachi, ooh siachi Msumali wenye kutu nilichomwa nkapata donda Lakini siachi, ooh siachi Nilikondeana nashukuru hivi sasa mashallah Mambo mwanana Nimesitirika hewalah Nimelipata bwana Lakunidekeza nalala Tumeridhiana sina Muda wa kum chiti wala Eeh Nipo nyonyo Nipo titi (Aah nimejaaa tele) Nalishwa vinono nipo fiti Aah, nimejaa tele Aaah Nipo nyonyo, nipo titi Aah nimejaa tele Nalishwa vinono Nipo fiti Aah nimejaa tele
Writer(s): Saraphina Kitinga Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out