Dari
PERFORMING ARTISTS
Benoit TV
Background Vocals
MB Dogg
Performer
COMPOSITION & LYRICS
MB Dogg
Songwriter
Mbwana Mohamed Ally
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Benoit TV
Co-Producer
Lirik
Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu hani umenifanyia
Mganga so sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta nione sura yakooo
Nakutamani niwe karibu yakooo
Kama ni gari ndo mapenzi yawe tight
MB Dog man nishalinunua
Kama salamu honey we ukinimiss
Nibeep baby mi nitakupigia
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Haiya yeah yeah beibe
Yeah yeah yeah ooh beibe
Sema basi unachotaka mummy
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mwawazo ya kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani
Latifah we ndo tuu mummy
Lati we ndo tuu honey
Latifah we ndo tuu mummy
Latifah hayaah
(Yeah yeah yeah yeah yeah beibe
Hayai yeah ooh ooh)
(Yeah yeah yeah yeah yeah beibe
Hayai yeah ooh ooh)
Vipo vya kushare Lati so mapenzi
We ni wangu imepangwa toka enzi
Sema basi kitu gani unachotaka (unachotaka)
We usijali mi sina matata (matata)
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha ta umiza moyo wangu
Kwani nashaachana na habari za machangu
Ndio inshallah wacha waone donge
Kama mikwanja tutachota kwa Abdul bonge
Kilichobaki sa God tumuombe
Tuwapo wawili nyoyo zetu tuzikonge
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha 'ta umiza moyo wangu
Kwani nashaachana na habari za machangu
Penzi la dhati lati mi nitaona haiya yeah
Penzi la uzushi lati mi nitajua haiya yeah
Kumbuka Dogman doggy nakupenda
Ukiniacha Dogman doggy nitakonda
Njoo uni kiss lady njoo unipe denda
Madee anajua
Kama penzi langu kwako moyo ni kidonda haiya yeah
Kama penzi lako nguvu za kiganga haiya yeah
Kumbuka Dogman doggy nakupenda
Ukiniacha Dogman doggy nitakonda
Njoo uni kiss lady njoo unipe denda
Doggy naumia
(Yeah yeah yeah yeah beibe
Aiya yeah yeah ooh ooh)
Sema basi unachotaka mummy
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mwawazo ya kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani
Latifah we ndo tu mummy
Lati we ndo tuu honey
Latifah we ndo tuu mummy
Latifah hayaah
Written by: MB Dogg, Mbwana Mohamed Ally