Video musicale

Video musicale

Crediti

PERFORMING ARTISTS
Israel Mbonyicyambu
Israel Mbonyicyambu
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Israel Mbonyicyambu
Israel Mbonyicyambu
Songwriter

Testi

[Verse 1]
Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute
Kwa kutenda mema bila kusita
[Verse 2]
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba
[Verse 3]
Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute
Kwa kutenda mema bila kusita
[Verse 4]
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba
[Chorus]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini
Ya siku zijazo nawapenda
[Chorus]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Chorus]
Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele
[Verse 5]
Simameni kwenye mnara
Usubiri ntakacho kisema
Zizuieni sauti ya muovu
Na upende kuwa mwenye haki
[Verse 6]
Nenda omba tena uombe (Oh tena uombe)
Tofautisha kuomba kwako
Maana hapo nitakuokoa
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako
[Verse 7]
Nenda omba tena uombe (Oh tena uombe)
Tofautisha kuomba kwako
Maana hapo nitakuokoa ohoh
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako
[Chorus]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini
Ya siku zijazo nawapenda
[Chorus]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Chorus]
Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele
[Bridge]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini
Ya siku zijazo nawapenda
[Bridge]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Bridge]
Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele
[Chorus]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini
Ya siku zijazo nawapenda
[Verse 8]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Chorus]
Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele
[Bridge]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Bridge]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Chorus]
Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majeraha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo
[Chorus]
Yatusanze fikaraguraa
Vivata vintu kuravo
Masiratkweza iyatuvavaira
Injirutuvivi kichesera
Written by: Israel Mbonyicyambu
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...