album cover
Tena
27.858
Afro-Beat
Tena è stato pubblicato il 2 aprile 2025 da Fe Tanzania come parte dell'album Tena - Single
album cover
Più popolari
Ultimi 7 giorni
00:35 - 00:40
Tena è stata scoperta più frequentemente a circa 35 secondi dall'inizio la canzone durante la settimana passata
00:00
00:05
00:20
00:35
00:55
01:00
01:15
01:40
01:50
02:00
02:15
02:25
02:30
02:40
03:15
00:00
03:28

Crediti

PERFORMING ARTISTS
Xouh
Xouh
Performer
James Pascal Nyoaza
James Pascal Nyoaza
Accordion
COMPOSITION & LYRICS
Ramadhan Daniel
Ramadhan Daniel
Songwriter
Zulfa Mohamed Ibrahim
Zulfa Mohamed Ibrahim
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
James Pascal Nyoaza
James Pascal Nyoaza
Producer

Testi

[Verse 1]
Kuna binadamu nampenda
Aii, jamani ameniweza
Naona analiyumbisha dishi la moyo wangu
Kiukweli ameniweza
[PreChorus]
Mpenzi ninaye na natamba naye
Sikuizi naoga vizuri napendeza na ninavyo nona msinishangae
Sikuizi nala vizuri nalala naye
Nampenda kuliko kula
Nampenda kuliko hela
Asa nani anabisha
Na sasa nishaacha usela
Msitake nikafie jela eti nani anabisha
[Chorus]
Nimuache huyu ni nani kasema
Mbona mwingine mi sina tena
Nimempa mwili akili na mtima
Maana mwingine mi sina tena
[Verse 2]
Zingatia body mcheki sura
Jamani anapendeza tumpe maua yake
Penzi lake nalipia kodi kugharamia
Muoneni anapendeza na vimacho vyake
[PreChorus]
Mpenzi ninaye na natamba naye
Sikuizi naoga vizuri napendeza na ninavyo nona msinishangae
Sikuizi nala vizuri nalala naye
Nampenda kuliko kula
Nampenda kuliko hela
Asa nani anabisha
Na sasa nishaacha usela
Msitake nikafie jela eti nani anabisha
[Chorus]
Nimuache huyu ni nani kasema
Mbona mwingine mi sina tena
Nimempa mwili akili na mtima
Maana mwingine mi sina tena
[Outro]
Mlioko single nawasaba hi hi hi hi hi hi
Na ubachela nishauaga bye bye bye bye bye bye
Written by: Ramadhan Daniel, Zulfa Mohamed Ibrahim
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...