album cover
Lowkey
1413
Hip-Hop/Rap
Lowkey è stato pubblicato il 30 gennaio 2026 da Mboka Doba LLC come parte dell'album Lowkey - Single
album cover
Più popolari
Ultimi 7 giorni
00:15 - 00:20
Lowkey è stata scoperta più frequentemente a circa 15 secondi dall'inizio la canzone durante la settimana passata
00:00
00:15
00:35
00:45
00:50
00:55
01:10
01:15
01:25
01:40
01:45
01:55
02:10
02:15
02:50
02:55
03:10
00:00
03:14

Video musicale

Video musicale

Crediti

PERFORMING ARTISTS
Toxic Lyrikali
Toxic Lyrikali
Rap
COMPOSITION & LYRICS
Toxic Lyrikali
Toxic Lyrikali
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Ares66
Ares66
Producer

Testi

[Chorus]
Vile nacheza lowkey huwezi mezo nikona loki nazisafirisha
Nasimamisha maploti na ni cha lazima
Marima nasimamisha mapira
Na napin machogii make sure ndai, zote nimetint dirisha
Huezi ng'am nikipita
Nimekiwasha waras wakilisha chini ya maji
Lowkey, kinena hakuna kitu haikosi
Nimejitambua sihitaji hizo trophies
Man a bad nimezoea mikosi
Not nice sijui kama umenotice
Najihusisha kama ikona manoti
Nachomoa kadhaa msupa ashageuka naughty
Lowkey kidosi, lowkey ni za kidosi
[Verse 1]
Behind bars naeza wai line na punch
Kinda white tena ficha white ukiwa mtaa
Nugu nugu business zimiwa mataa
Infact tukipatana akuna impact utamake
Kidungi tall kama brad
White precipitate ndani ya lab
Sumu kama kawa, kama dawa kwa marat
Tukiwasafishia rada ni clean huwezi investigate
Mawhite na maziwa
Dirty biz sidai uchafu kwa maziwa
Ndio maana beef za udu nanyamazia
Wananiuzia uoga sijatenga hio maziwa
Lowkey mi ni dosi na choma adi nyongi
Sunda irori full tank kila moti
Mnisa we unaona nani gondi
Hepa ukiniona na Omondi
[Chorus]
Vile nacheza lowkey huwezi mezo nikona loki nazisafirisha
Nasimamisha maploti na ni cha lazima
Marima nasimamisha mapira
Na napin machogii make sure ndai, zote nimetint dirisha
Huezi ng'am nikipita
Nimekiwasha waras wakilisha chini ya maji
Lowkey, kinena hakuna kitu haikosi
Nimejitambua sihitaji hizo trophies
Man a bad nimezoea mikosi
Not nice sijui kama umenotice
Najihusisha kama ikona manoti
Nachomoa kadhaa msupa ashageuka naughty
Lowkey kidosi, lowkey ni za kidosi
[Verse 2]
Full buda si mjuniour nachapana kwa sinia
Lowkey dereva nimejifanya abiria
Daily wanafikiria venye watanifikia
Kimbiza mali kwa milima nikimedi idhaa
Deals napiga ndio ujue ukue na gills
Msupa body is tea na ako ma cannabis leaves
Lowkey anakuanga amejipin si kiprop
Naskia kina work properly
Na arif msom tusafirishe mto
Na shagla zetu zi flow venye flow ka mto
Usilete za uso usipatikane ukipost
Mahali tuko izo reba zisifike uko post
In case uko nje hio ni case
Nishangasha nimepandisia bape
Sina za ferrari na dm imejaa "Hey"
True colors waezi mezo nimepaint
[Chorus]
Lowkey, kinena hakuna kitu haikosi
Nimejitambua sihitaji hizo trophies
Man a bad nimezoea mikosi
Not nice sijui kama umenotice
Najihusisha kama ikona manoti
Nachomoa kadhaa msupa ashageuka naughty
Lowkey kidosi, lowkey ni za kidosi
Written by: Toxic Lyrikali
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...