Testi

Wakati nakuona, najipa moyo sana Pia nasema, ahsante kwa Mungu aliyekuumba Kila nyumba, bila we ni kama jangwa Nimejaribu kutembea kidogo Nimeona kuume na kushoto Umeyang'arisha miji zetu, kwa uzuri na urembo wako Nimejaribu kusafiri karibu na mbali Nimejaribu kusafiri karibu na mbali Umependeza miji za ulimwengu, weeh Ndiyo maana watu wanakupenda Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Umeonesha maana, unayo ndani ya maisha Naona watu wengi, wametabasamu kila wakati Unaposema (Sema) Unapoimba (Imba) Unapocheka Abibi Kupitia wewe, Mungu amejaza dunia na raha na akili Yote haya yananituma, kuimba jina lako nzuri Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibibi Abibibi Abibibi Abibibi Abibibi Abibibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibi, Abibi Abibibi Abibibi Abibibi Abibibi (Abibibi) Abibibi (Abibibi)
Writer(s): Innoss'b Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out