クレジット

PERFORMING ARTISTS
Boshoo
Boshoo
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mathias James Lekule
Mathias James Lekule
Songwriter

歌詞

Intro
Lody Music On This One
Korogwe Finest!!
Verse 1
Mapenzi Adhabu hasa Unampenda akiwa wa Ajabu/
Atakufunza Adabu Utatamani chupa iwe Dhahabu./
Utakesha kwa Babu Mashuhuri wa Vitabu/
Hutopata Ushauri zaidi Wakuongezee Tabu../
Hayana formula,hayatabiriki Boy...
Mwenye PHD anagongewa na Shamba Boi./
Na kule Home Boi,wazi yanafanyika Matusi/
Dada wa Kazi Kapindua Meza ndo Mother House./
Na huyo huyo shoga yako mnaekutana Chimbo./
Kwa AMANI KUCHA au saloon ya Mama Kimbo/
Ndo Anamchukua Mume alafu anajifanya Single/
Anamchuna anakipa KibenTen cha Mabibo../
Ndo maana, usiku wa Manane anarudi,./
Ukimuuliza lazima mgombane anabugi./
Roho inakuuma anavunja Pendo Makusudi./
Na hata Tendo anafanya Kinyonge hana Mood.
Verse 2
Utashangaa Unapiga simu hapokei,/
Yuko online whatsp ila bluetick haitokei/
Unalala Unahesabu Bati na hata Mida haisogei/
Juice ya Miwa yaani unaweka na Sukari Haikolei./
Achana nayo kama huna kitu Yatakutesa,/
Maaana Utashindwa kusoma Mapenzi yana Lugha ya Pesa../
Kesha,Tafuta Hela Jikaze Bro./
Wadada wanataka Kucha na Lotion za kuGlow/
Ila Kuna Muda Pia ,wenye Pesa Wanaumia./
Wengi sana wameuziwa Mbuzi kwenye Gunia/
Nishaona Mengi ya Ajabu Ndani ya Hii Dunia/
Mchepuko ukapewa Ndogo alafu Mume akabaniwa/
Hakuna Mjinga wala Mjanja Kaka,/
Hakuna Bingwa Kamuulize Doctor Mwaka/
Achana na Data kuwa nae fanya Maisha/
Maaana Ukimchunguza Bata ,Utaacha Utapika Mchicha/
Chorous
Kuchiti kuna raha yake ndo maneno wanajitetea/
Mkweli kwenye sura Yake,kwen…
Outro
Unapopendwa Mara Nyingi,wqe nenda mara chache/
Maana hata Kuku hula sawa na Mdomo wake/
Akili zao zinabadilika Wanawake../
Toa laki Mwenzako anatoa Buku ila Shangwe../
Moyo unavunjika
Nyang'aNyang'a
Nyang'aNyang'a
Moyo utavunjika
Nyang'aNyang'a
Nyang'aNyang'a
Written by: Mathias James Lekule
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...