クレジット
PERFORMING ARTISTS
Whozu
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Oscar lelo
Songwriter
Praygod Kweka
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Mr. LG
Producer
Cañiba
Producer
歌詞
[Verse 1]
Nilisema nisubiri ila naona inazidi
Niwastiri ila naona inabidi
Busara tu niseme
Ili hiki kinyongo nikiteme
[Verse 2]
Wengi wenu Mnanikubali kishingo upande
Wapambe mnatamani baby wangu aniache akadange
Mmemisi offer za makange
Mnatafuta story wameacha ili mkaziuze kwa Mange
[Verse 3]
Mnanichukia kwa mnajua nimekuja kumpa furaha ya milele
Ila wengi wenu mnamsifia
Mkiwaza kwanza maslai yenu mbele
Anha!
[Verse 4]
Tulipoanza mliniita mkombozi
Wengine mkasema ntamfuta machozi
Na sasa hivi halii, mnajiuliza ni kwanini
Lipi jema kwenu sijui mnataka nini
[Chorus]
Wengine mnaniona hayaha wa jide
Mnadhani sijui mnaniona kauzibe
Mnataka akagongwe ili mshibe
Katu siwezi kukubali hata mnipige
[Chorus]
Mkiniona shem shem love
Na mnatapakaza same same mbovu
Mnamwambia nimefata fame, nje na mademu
Nikifanya ubaya kidogo mnaanza blame
[Chorus]
Mara nimekuwa mweupe, nimekuwa kitufee
Kuna muda mnatamani hata bora nife
Akinisupport mnasema anachoreka
Akionesha upendo mnamwambia nabweteka
[Verse 5]
Wengine mabro kabisa
Wanaomba show kabisaa
Halafu wanamwambia asiseme
Akiniambia naye ananiambia nisiseme ila leo nasema
[Verse 6]
Mfano, huyu juzi alimpa danga la Uturuki
Akampa na offer na bado hukumbuki
Me ndo nilichati nawe na wala hushtuki
Ila niko peace moyoni sina chukii
[Verse 7]
Tena we nyamaza usiongee
Ungekua mimi navyokujua roho yako
Usingeruhusu nisogee karibu yako
Au unataka niongee kuhusu ushauri wako
[Verse 8]
Eti aolewe mke wa pili wa shekhe
Na hata mtembee uchi nishakuwa shemela
Nimejipata lenzi imepata camera
Bonge hauchoki kuzusha zusha mambo
Wenzio wote walioacha unafki sasa hivi wako ngambo
[Verse 9]
Huyu nae tunapika na kupakua
Tukifurahi tukigombana vyote anajua
Cha ajabu ukikaa nae huwa anakuuwa
Kuwa wwe sio wife material na bado hujajua
[Verse 10]
Muda mwingine tunaishi nao
Ndio hao tunakula nao
Mashemejii, mashemejii
Mashem mashem mashemuuu
Mashem mashem mashemuuu
Mashemejii, mashemejii
Written by: Oscar lelo, Praygod Kweka