クレジット

PERFORMING ARTISTS
Dwin
Dwin
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Godwin Peter Lerowi
Godwin Peter Lerowi
Songwriter

歌詞

This is ℞eal
( ƳeaH )
I Dont know how to Say this shii
But this is ℞eal
( ƳeaH )
Naomba pesa zibadilishe iLa kamwe tusibadilike
Tutachelewa iLa ifike muda tufike
Utanielewa
kinachokwenda kinarudi Sa nipishe
Hizi sio ndoto hizi ni mishe
Na demu wangu simba jike
( Mahn )
She grinds
( Ah ƳeaH ƳeaH )
Alafu akinicheki all the TIME
( Ah ƳeaH )
Namwambia niko BUSY for the TIME
BabƳ you know nataka vitu vikae fine
And i really know am ʏᴏᴜʀꜱ
But you know the game is mine
Anamind
Sema mind iKo dodoma nishazama,
Ni simu zinaita sana vigumu kuepa lawama
couple girlꜱ i used to know, ambao hata hatuongeagi sana
Ilikuwa USiku saivi mCHana inabidi nikaone wana
Nawachana kwamba game biLa kiki biLa drama
BiLa zana biLa BeeF biLa pisi kama nyama
BiLa ufake biLa ᴛᴀɢ biLa chawa biLa chama
BiLa flani anamjua flani na biLa kujuana sana
Ni wanakunja ( Ah ƳeaH )
tunavunga ( Ah ƳeaH )
Hatukwami mpaka tupamie mabunda
( Ah ƳeaH )
Bado nunda ( Ah ƳeaH )
tunadunda ( Ah ƳeaH )
Si wanyama ila hautukuTi tunachungwa
Then wananambia mwana chiLL
tukwambie kuhusu mtaa
Kuhusu flani na flani walikichafua wakatambaa
Kuhusu one time moja inabidi kuepuka tu hizi njaa
Sema tumuombe tu JAH wala tusikate tamaa
This is Real
( ƳeaH )
I Dont know how to say this shiii
But this is Real
𝚢𝚘𝚞 𝚍𝚘𝚗𝚝 𝚔𝚗𝚘𝚠 𝚑𝚘𝚠 𝚒𝚝 𝚏𝚎𝚎𝚕ꜱ
Then nazama Home inabidi niongee na mama
Ye anachoomba ni Mwanae tu niwe salama
Nikiokota mi simsahau Ye hunambia vitu vYa maana
Na kuna kitu kimoja yeye huwa aachi lalama
Kuwa
vipi kuhusu game hivi lini litakupa cash
Mi naomba uje utoke biLa chuki biLa kesi
BiLa dawa biLa baya ama tetesi biLa streSS
BiLa kuzama gizani ili mambo yaje yakae fresH
This is Real
ƳeaH
I Dont know how to say this shit
𝙱𝚞𝚝 𝚝𝚑𝚒𝚜 𝚒𝚜 ℞𝚎𝚊𝚕
I\'on Say it JusT to Say it Mwanangu
THIS SHIT IS REAL
Written by: Godwin Peter Lerowi
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...