クレジット

PERFORMING ARTISTS
Adam Berry
Adam Berry
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Adam Kayoza
Adam Kayoza
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Vampire
Vampire
Producer

歌詞

Nawaza vipi nijikwamue na home kwetu hakuko fit bado ,
Kipi nifanye nisikwame, walau geto niwe na unga kidgo,
Kwa hili life mpaka utusue na kuna muda utatumika na bado,
Na wanaambiwa wanitazame, maana mii ndo mwenye elimu kidogo,
Ajabu kazi hawazipati hata wenye vyeti asa vipi ntatoboa
Na town nipo miaka kumi hata haileti sijui nini kitanitoa
I’ve been dreaming and waiting for my destiny all my life
I’ve been stressing I’ve been thinking for my self where I messed up
Hivi shida ni kuishia la saba na kama kuna kingine mungu niangalie na wewe
Nawaza shida ni kuishia la saba
Sometimes siyaelewi maisha yanaendaje na mimi
ajabu kuna mtoto wa jirani alipata One hapa naposema yuko tee
Hivi ni nani alosema ndugu ni namba one akiwa nacho lazima akupee
Na huko nyuma nimeacha madogo maana mi ndo mama ndo baba ndo bro
Tunagawana nipatacho kidogo, maana mi ndo mama ndo baba ndo bro
I’ve been dreaming and waiting for my destiny all my life
I’ve been stressing I’ve been thinking for my self where I messed up
Hivi shida ni kuishia la saba na kama kuna kingine mungu niangalie na wewe
Nawaza shida ni kuishia la saba
Sometimes siyaelewi maisha yanaendaje na mimi
Written by: Adam Kayoza
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...