ミュージックビデオ

特集

クレジット

PERFORMING ARTISTS
Bahati Bukuku
Bahati Bukuku
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Bahati Bukuku
Bahati Bukuku
Composer

歌詞

Hakuna mtawala mbaya kama ahabu Hakuna mtawara mbaya kama Ahabu Wakati wa utawara wake Ahabu Wakati wa utawara wake Ahabu Israeli walimtenda Mungu dhambi Israeli waligeukia njia mbaya Wakati wa utawara wake Ahabu Wakati wa utawara wake Ahabu Wakati wa utawara wake Ahabu Alitokea nabii jina lake Eliah Taifa lile lilimtenda Mungu Hasira ya Mungu iliwaka ndani ya Eliah Eliah akachukia dhambi Akaua manabii wa bahari wote Alianza na manabii mia moja wa baari Alishusha moto toka mbiguni Uliwalamba manabii wa baari wote Eliah hakuishia hapo Walipoendelea kutenda dhambi tena Eliah alisimamisha mvua Taifa lile lilimuogopa Mungu wa Elia Eliah alishusha moto toka mbinguni Eliah alisimamisha mvua Eliah wakamuogopa Mungu watu wale Ilifika wakati Eliah akasema Waitwe manabii wote mia nna hamsini Na ijulikane upo Mungu unayeishi Na ijulikaneupo Mungu unayeishi Kama bahari ni Mungu basi leo tutamuabudu Na kama Mungu yupo basi leo nitajua Mmh Ahabu... ooh Ahabu Wakajikusanya mabahari wote Mianne hamsini wakaandaa sadaka yao ya kuteketezwa. Eliah akawambia iteni Mungu Lakini Mungu bahari hakushuka tena Eliah akawaambia muamsheni Mungu wa bahari hakuamka Baari hakuamka na wala hakuwasaidia Baari hakushuka na wala hakuwasaidia Eliah akasimama tena Akaandaa sadaka yake Akawaambia leteni hata maji Sadaka yangu imwagiliwe Akajipiga kifua chake hee Na ujulikane Mungu wa Eliah Moto kutoka mbinguni ulishuka Ulibeba sadaka ya Eliah kila kitu Moto kutoka mbinguni ulishuka Ulibeba sadaka ya Eliah kila kitu Wale miungu wa bahari wote walitetemeka Eliah aliwaua wote hawakuweza kumsogelea Ezabeli akatuma mjumbe Nenda kamwambie Eliah Kesho majira kama haya Roho ya Eliah itakuwa mikononi mwangu Kesho majira kama haya Roho ya Eliah itakuwa mikononi mwangu Maneno ya yesabeli yalimnyima usingizi Maneno ya Ezabeli yalimuharibia siku Eliah akakimbia akasahau miujiza aliyotenda Eliah akakimbia sauti ya yesabeli Mmh Ahabu. mmh Ahabu Yawezekana upo mtu Uliyefanya miujiza mingi Sauti za adui zimesikika tena Wanatabili huwezi shinda Na mimi leo nakutabilia Tawala leo kibali unacho Mimi leo nakutabilia Maneno ya adui zako yasikunyime usingizi Maneno ya adui zako yasikuharibie siku Menenoya adui zako yasikunyime usingizi Maneno ya adui zako yasikuharibie siku Eliah alishusha moto toka mbinguni Eliah alisimamisha mvua Eliah wakamuogopa mungu watu wale Na ijulikane upo mungu unayeishi
Writer(s): Bahati Bukuku Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out