가사

Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Je, neema yake umemwagiwa? Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo, Ziwe safi nguo nyeupe mno, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Wamwandama daima Mkombozi, Na kuoshwa kwa damu ya kondoo? Yako kwa Msulubiwa makazi, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo, Ziwe safi nguo nyeupe mno, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Atakapokuja Bwana-arusi, Uwe safi kwa damu ya kondoo! Yafae kwenda mbinguni mavazi, Yafuliwe kwa damu ya kondoo. Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo, Ziwe safi nguo nyeupe mno, Umeoshwa kwa damu ya kondoo? Yatupwe yalipo na takataka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo, Huoni kijito chatiririka, Na uoshwe kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu, Itutakasayo ya kondoo, Ziwe safi nguo nyeupe mno, Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
Writer(s): Angela Chibalonza Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out