PAUL CLEMENT의 상위 곡
유사한 곡
크레딧
작곡 및 작사
PAUL CLEMENT
송라이터
가사
Mimi ni yule mmoja, kati ya wale kumi.
Uliowaponya ukoma, kwako nimerudi.
Wale tisa sijui,
Ila mimi nimekuja kusema Asante!
Najiuliza, Nikulipe nini?
Kwa yote ulonitendea mimi,
Baba ni mengi,
Siwezi lipa hata kwa senti.
Natafuta namna nzuri ya kukushukuru ninakosa,
Natafuta maneno mazuri ya kukushukuru ninakosa,
Ee Baba,
Nikulipe nini, nikulipe nini?
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
(Uliyonitendea...)
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Nachojuaga, hua unaongezaga.
Kama ukimpa mtu kitu alafu akakushukuru!
Nachojuaga,
Hua unaongezaga zaidi(zaidi)
Sikushukuru tu kwa haya uliyotenda,
Ila, Hata kwa yale ambayo hujayatenda,
Huku nikiamini,
Shukurani ni sauti ya imani!
Fedha (Haitoshi kukushukuru),
Dhahabu (Haitoshi kukushukuru),
Ee Baba,
Nikulipe nini, nikulipe nini?
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu,
Ila nina neno moja,
ASANTE.
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu!
Ila nina neno moja,
ASANTE.
(Shukurani) Shukurani,imebebwa, kwenye neno moja,
ASANTE.
(Shukurani) Shukurani, imebebwa, kwenye neno moja,
ASANTE.
Shukurani, imebebwa, kwenye neno moja,
ASANTE.
Shukurani, imebebwa, kwenye neno moja,
ASANTE.
Writer(s): Paul Clement
Lyrics powered by www.musixmatch.com