Muziekvideo
Topsongs van Boondocks Gang
Credits
PERFORMING ARTISTS
Boondocks Gang
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Tony Kinyanjui
Songwriter
Francis Macharia
Songwriter
Edward Kimachu Irungu
Songwriter
Songteksten
Si ako fiti kutu na ako njiti
Kukumanga choki ni kimiti
High voltage hapa ni kurisky
Nina arimis hapa staki kiki
Hakuna stori ya food hapa natakaa (kanuthu)
Hakuna ugirimba nina quarter (kenuthu)
Nakudai sai nina shada (kanuthu)
Kanuthu, kanuthu,kanu, kanuthu
Kwa nduthi buda mi hurankada
Paka ni bushy musa tukiban shada
Jogoo ya town inawika mosadha
So nikule caro, nidishii Caro
Kuna time nilibetty hadi kyallo
Chali yake challo anakulwa salo
Mi hukemba hadi don ka carlos
Anadai dudu hii rungu ni kombo
Muskari mi mi hudish kombi
Gonga kigongi
Ako jam anakam na sisongi
The only motion anafeel ni kigongi
Na sibongi unless niswitch kondi
Hadi Vicky anafeel ako pon this
Ye hublow job mi nikiblow kiss
Na sipay fees siishi kwa office
Si ako fity kutu na ako njiti
Kukumanga choki ni kimiti
High voltage hapa ni kurisky
Nina arimis hapa staki kiki
Hakuna stori ya food hapa nataka(kanuthu)
Hakuna ugirimba nina quarter (kanuthu)
Nakudai sai nina shada (kanuthu)
Kanuthu, kanuthu, kanu, kanuthu
Jaba yangu nifungie tu na karatathi
Nishikishe nishukishe na zile mandathi
Patico ya kobole na kawada seti ndani
Vile nakachimba kana shangaa rada gani
Ikus kama tatu nazikula ki kaimati
Na ka inatupa naichuja tu ka mabati
Za ketepa ya kumundo pale tu kafati
Na ka ni kesi ya pedi leo najifanya jaji
Maji ya uzima unaeza iita njoti
Za ukulima ndo zinalisha mapedi
Watiaji tuwakule tu mahedi
Mama pima leta ng'ang'o ndo tumedi
Rizla na kishamba kimeshika
Kipizza na unajaba unashikisha
Itisha kimoratish mama pima
Utabakisha nikuchimbe tu saa sita
Tuta piga dimba na kisoccer
Nitakitinga tinga nitakitoka
Ka ni fielder haga nitakigonga
Shoti moja kainame nikichora
Njoti zote kazilambe kusorora
Kuna iphone charger yangu Motorola
Anajiita wambo mtaa ni mkora
Nakurora nakulola
Si ako fity kutu na ako njiti
Kukumanga choki ni kimiti
High voltage hapa nikurisky
Nina arimis hapa staki kiki
Hakuna stori ya full hapa unataka (kanuthu)
Hakuna ugirimba nina quarter (kanuthu)
Nakudai sai nina shada (kanuthu)
Kanuthu,kanuthu, kana, kanu, kanu,kanuthu
Nina ngoto mi nitacheza chobo ua
Ua nikunyoroshe ustake jua jua
Juu ya kirungu si utazua, zua
Miaka kwanza si ni kichura
Kunywa zote itisha pension
Ukiskia kuna tension
Unatekwa ukimention
Nina pienga kuja session
Tufinyane nikudare nikusese
Tukimane nikugeuze ukiwa ndethe
Nikulambe peremende ya maseke
Nikunyanyishe mashada juu una teke
Writer(s): Tony Kinyanjui, Francis Macharia, Edward Kimachu Irungu
Lyrics powered by www.musixmatch.com