Songteksten

Mi ni kabarca We hucheza ka sofapaka Ni ati umechapa, abracadabra Ni sisi huroganga waganga Mbogi ya wakanda, Ngori unagandwa Kwa lorry dolly za samantha Holla ukitaka, gonga ukikanja Ju lazima nishikilie ganji Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Eh, bazenga daddii mi messiah si disciple Rap James bond itabidi nigeuze title Kwa sasa nacheki maganji kwa horizon Militant sana kwa hizi streets kama cyborg Mali naskuma kila corner ya hii jiji Wengi ni mambleina so utakosa marafiki Formula waezi kupea heri kwao ibaki siri Kabla ugonge K**a kwanza chezanga na titi Tough klan nilikula hadi kiapo Circle nayo small, keep it smaller than a atom Uliza utajibiwa bora swali isiwe random Gbag na rizzla na vodo ni ma gallon Ofisi siezi kaa niko self employed Flow ni jinga mi ni star kuniskia si choice Vile vela inazunguka kama mosquito coil Usikidim utafanya damu yangu iboil Mi ni kabarca We hucheza ka sofapaka Ni ati umechapa, abracadabra Ni sisi huroganga waganga Mbogi ya wakanda, Ngori unagandwa Kwa lorry dolly za samantha Holla ukitaka, gonga ukikanja Ju lazima nishikilie ganji Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Mi nakula pesa zangu Bitcoin Nimeongezea decimal good point Mi hushika doh ka makanga 44 Wanataka kunirusha for what for? Itabidi nazisunda kotiko Nishapiga mahesabu multiple Na do bizz ya kukinda maji 40 bob Ukidai koro nikona za otivo Money talks, nazungumza guapanese Nigga please, macho zangu Chinese Bado nawakanda bongo ka mcongolese Niwache wamehang dungarees Nina issues mob, magazines Muna handastand? taxing As in, ka unajua hustling Mali safi ukitaka lipa taslim, yup Mi ni kabarca We hucheza ka sofapaka Ni ati umechapa, abracadabra Ni sisi huroganga waganga Mbogi ya wakanda, Ngori unagandwa Kwa lorry dolly za samantha Holla ukitaka, gonga ukikanja Ju lazima nishikilie ganji Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga Ka jo makanga Kama jo kama makanga Ka jo makanga
Writer(s): Paul Otieno Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out