Tekst Utworu
Wengine ni vijijini
Wengine mjini, ndiko tulikozaliwa
Maisha ya chini, tulichunga kondoo
yaani kama vile Musa
Na Dunia ina mengi
Mda inatisha si rahisi nitoboe
Uliingilia kati
Salama nivuke hata nikafika hapa
(Chorus .)
Pumzi,uhai
Huyu ni Mungu
Cheo na elimu
Ni Mungu bado
Hata kuinua
Watu ni Mungu
Ahsante Yesu kwa wema nazo fadhili zako
Ndoa yenye amani huyu ni Mungu
Kunipa furaha nyingi
Ni Mungu bado
Uwezo wa kuwa hapa hapa
Ahsante Yesu
Umekubali nifike hapa.
Nikikumbuka Mungu
Cha kukulipa
Ulidhike ufurahi
Hupungukiwi kitu
Ni wewe Mungu
Uliye mwanzo na mwisho
Ninalo ombi moja
Niimarishe
Uyatumie maisha yangu
Nikakupe na moyo wangu
Utu na Mali
Nitumie upendavyo.
(Repeat chorus).
Writer(s): Japhet Zabron
Lyrics powered by www.musixmatch.com