album cover
Mtima
10 418
Pop
Utwór Mtima został wydany 4 sierpnia 2023 przez Abbah Music jako część albumu Above & Beyond - EP
album cover
Data wydania4 sierpnia 2023
WytwórniaAbbah Music
Melodyjność
Akustyczność
Valence
Taneczność
Energia
BPM168

Teledysk

Teledysk

Kredyty

PERFORMING ARTISTS
Platform
Platform
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Platform
Platform
Songwriter
Abbah Process
Abbah Process
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Abbah Process
Abbah Process
Producer

Tekst Utworu

[Verse 1]
Nina imani na busara
Japo nina mapungufu yangu ni kawaida
Ah mi mwanadamu na
Kusema nimekamilika sio sawa
Maneno ni sumu
Mdomo unaumba, unaumba
Ah bora unihukumu kama nikitenda kosa, makosa
[Verse 2]
Usiponitaka atanitaka nani my boo?
Yeah mshikaji wangu wa maisha aa ni wewe
[PreChorus]
Unajua sipo sawa (Sababu ni we)
Ata nahisi kupagawa (Sababu ni we)
Kila tunaporumbana amani sina amani sina aa
Unajua sipo sawa baby
Ata nahisi kupagawa
Kama ni kupishana
Kwenye mapenzi hivyo ni vitu vya kawaida
[Chorus]
Na kwenye mtima, pressure sina
Kama kukupenda wewe mi nakupenda
Why tuzozane?
Mi kwenye mtima, preassure
Kama kukupenda wewe mi nakupenda
Why tuzozane?
[Verse 3]
Eh, na kama mwadamu kweli sijakamilika hilo naelewa
Kinachonichanganya navuruga nashindwa kuelewa
Ah, maneno mengi na vitendo nakosea nashindwa kujielewa
Kinachonichanganya navuruga nashindwa kuelewa
[Verse 4]
Na kuna muda mi naenda kushoto sitaki wakati unaenda kulia
Na kukupenda nakupenda kama nimerogwa wameniwezea
[PreChorus]
Unajua sipo sawa (Sababu ni we)
Ata nahisi kupagawa (Sababu ni we)
Kila tunaporumbana amani sina amani sina aa
Unajua sipo sawa baby
Ata nahisi kupagawa
Kama ni kupishana
Kwenye mapenzi hivyo ni vitu vya kawaida
[Chorus]
Na kwenye mtima, pressure sina
Kama kukupenda wewe mi nakupenda
Why tuzozane?
Mi kwenye mtima, preassure sina
Kama kukupenda wewe mi nakupenda
Why tuzozane?
[Outro]
Mi kwenye mtima, pressure sina
Kama kukupenda wewe mi nakupenda
Why tuzozane?
Written by: Abbah Process, Platform
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...