Créditos

PERFORMING ARTISTS
Jay Melody
Jay Melody
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Sharif Saidi Juma
Sharif Saidi Juma
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Adam Amiry Maingwa
Adam Amiry Maingwa
Producer

Letra

[Verse 1]
Kama ni mapenzi
Yaniuwe basi yaniue
Huu mzigo basi unitue
Kama siyajui nipeleke shule baby
[Verse 2]
Kwengine sioni
Penzi lako lanipa upofu we
Kwa mikono yako nichukue
Kwenye makorongo usinitue baby
[Verse 3]
Me nishajigamba sana kwa masela majita
We ndo changu kipenzi nishawaambia we ndo changu kipenzi
Sa usije kunichanganya mwenzako nitakwisha
Si ushajua siwezi bila ya penzi lako mimi siwezi
[Chorus]
Mimi, mimi
Watu mmh
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
[Chorus]
Mimi, mimi
Watu mmh
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Mimi, mimi
[Verse 4]
Bila we mi nitaukosa uhai
Bila we life halita noga
Ni raha tu vile unanikosha
Utaniambia nini kuhusu mapenzi
[Verse 5]
Kwako nimegota
Nikikuona ka nimeona nyota
Kwa penzi lako chozi la nidondoka
Basi usiniweke roho juu
[PreChorus]
Me nishajigamba sana kwa masela majita
We ndo changu kipenzi nishawaambia we ndo changu kipenzi
Sa usije kunichanganya mwenzako nitakwisha
Si ushajua siwezi bila ya penzi lako mimi siwezi
[Chorus]
Mimi, mimi
Watu mmh
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
[Chorus]
Mimi, mimi
Watu mmh
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Nitawambia nini watu
Mimi, mimi
Written by: Sharif Saidi Juma
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...